Kenya yaanza kukumbwa na wimbi jipya la maambukizi ya Corona

Kenya yaanza kukumbwa na wimbi jipya la maambukizi ya Corona

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Kuna kila dalili kwamba Kenya imeanza kukumbwa na wimbi jipya la maambukizi ya virusi vya Corona baada ya idadi ya maambukizi mapya kuongezeka kwa kasi katika siku za hivi karibuni.

Hii inatokea wakati wakenya wapo katika kipindi cha maombi kumuomba Mungu asaidie kumaliza Corona, lakini ni dhahiri kwamba Mungu wa wakenya ameamua kuwafungia vioo kwa kutowadikiliza kwa kila wanalomuomba.

Je unawashauri wakenya wafanye nini ili kutokomeza Corona?
 
Walisema wanatumia sayansi kupambana na COVID-19 wakatubeza sisi watz eti tunatumia mbinu za Kijeketile!! Waache waipate joto ya jiwe! Wakina MK254 walitudharau sana ngoja waendelee kupambana na corona yao.
 
Yule aliyekuwa amesema Tanzania imejichokea yuko wapi? Haha kumbe wenyewe ndiyo watakaojichokea ile mbaya.
 
Yule aliyekuwa amesema Tanzania imejichokea yuko wapi?? Haha kumbe wenyewe ndiyo watakaojichokea ile mbaya.
Siku hizi hatoi tena updates za kirusi wakati miezi michache iliyopita ndio ilikuwa kazi yake humu jukwaani,

Siku hizi hatoi updates za viongozi mbalimbali wanaokutwa na kirusi wakati miezi michache iliyopita hiyo ndio ilikuwa kazi yake humu jukwaani,

Siku hizi hafungui tena nyuzi za kusifia upimaji wa kirusi wakati miezi michache iliyopita hiyo ndio ilikuwa kazi yake.
 
Walisema wanatumia sayansi kupambana na COVID-19 wakatubeza sisi watz eti tunatumia mbinu za Kijeketile!! Waache waipate joto ya jiwe! Wakina MK254 walitudharau sana ngoja waendelee kupambana na corona yao.
Dawa yake ni kutokupima tu kama sisi!
 
Mkuu usisahau kufungulia uzi na hii, wakati wanamuomba Mungu corona iishe kaona ni wanafki, waongo, washenzi so kaamua kuwachapa tena na hii[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]

 
Kwa modal ya tz iliyomaliza ugonjwa - waache kupima. Vipimo vinaambukiza Corona hadi mbuzi.
 
Corona is a new malaria. It is here to stay.

Trump kalikwaa corona na amegoma kujiisolate. Hizo mbwembwe za kufungia ndani wengine siku 14 kwanini haikuwa kwake?

Very soon hii corona watu wataipuuza tu ili maisha yasonge mbele. Kenya wanapaswa kushtuka mapema.
 
Kenya ulaya ya East Africa mbona kilasiku wanazidi kututia aibu,nchi zote za EA zimeweza kudhibiti Covid-19 lakini wakunya wameshindwa kabisa.
 
Unafiki wa wakenya ndo unaowatafuna,wasipoonyesha sura zao halisi, hakika wataendelea kupingwa spana🏃
 
Back
Top Bottom