johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Kenya au hio ni code?Imedaiwa Wizara ya Mambo ya Ndani ndio inaongoza kwa Vyeti Feki
Huku walilipwaWaziri mmoja wa Kenya amesema wameamua kuwashughulikia Vyeti Feki kama ilivyofanya Serikali ya Tanzania ila wao wataenda mbele zaidi kwa kuwafikisha mahakamani na kufungwa pamoja na kulipa fidia
Imedaiwa Wizara ya Mambo ya Ndani ndio inaongoza kwa Vyeti Feki
Credit: Citizen TV
Mtu ana cheti feki unampeleka mahakamani ili akajitetee kuwa cheti hicho ni halali?Sawa shujaa wa chato aliwatumbua bila kuwapa haki ya kujitetea mahakamani,
Alichokifanya ni uvunjifu wa Sheria kuliko waharifu walichofanya...
Una uhakika tukikuita hapa ofisini kwetu unaweza kuthibitisha wasiwasi wako au ndio utaishia pyu pyu pyu yusufu?Huku kwetu hata bi yule tuna wasiwasi naye
ndiye aliyewalipaHuku kwetu hata bi yule tuna wasiwasi naye
Umemtaja Magufuli hapo unawaudhi makamanda uchwara😂Waziri mmoja wa Kenya amesema wameamua kuwashughulikia Vyeti Feki kama ilivyofanya Serikali ya Tanzania ila wao wataenda mbele zaidi kwa kuwafikisha mahakamani na kufungwa pamoja na kulipa fidia
Imedaiwa Wizara ya Mambo ya Ndani ndio inaongoza kwa Vyeti Feki
Credit: Citizen TV
Ujinga ulianzia hapo Sasa!ndiye aliyewalipa
kusudi sheria ichukue mkondo wakeMtu ana cheti feki unampeleka mahakamani ili akajitetee kuwa cheti hicho ni halali?
Wizara iliyo chini ya Prof. Kithure KindikiWizara ya Mambo ya Ndani ya Kenya au hio ni code?
Cheti ni feki, umri wa mtu huyo umekwenda, kazi alishazifanya, pesa alishapokea Sasa kumpeleka tena mahakamani mwisho wa siku ni kifungoni.kusudi sheria ichukue mkondo wake
Acha ungumbaru hivi waharifu wangapi wanaopelekwa mahakamani na walifanya matukio ambavyo yana ushahidi wa wazi?Mtu ana cheti feki unampeleka mahakamani ili akajitetee kuwa cheti hicho ni halali?
Anzeni na NapeAcha ungumbaru hivi waharifu wangapi wanaopelekwa mahakamani na walifanya matukio ambavyo yana ushahidi wa wazi?
Iweje vyeti wapate adhabu moja kwa moja na mtu binafsi wakati Mahakama ndio combo cha kutoka haki anayostahili mtu?
Vipi kama katiba na sheria inawataka wauawe na yeye akaamua kuwaacha huoni sheria ilivunjwa hapo?
Aanze nani kwani mimi ndio Mahakama?Anzeni na Nape