joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
We jamaa shida yako iko wapi? Yaani Tanzania hakuna mauwaji? Pengine Watanzania ni malaika wanaoishi mbinguni.
Kama ambavyo tafiti zimeitaja Kenya kuwa miongoni mwa nchi hatari duniani na kushika nafasi ya 7 duniani kote, hili limeendelea kudhihirika baada ya mwili wa mzungu tajiri aliyekuwa katika mzozo wa kutalikiana na mkewe toka kabila la Kikuyu kuokotwa porini.
Bwana Tob Cohen alikuwa ni miongoni mwa wazungu wanaomiliki uchumi wa Kenya na amewekeza sana Kenya, ikiwemo mashamba na viwanda. Tob Cohen hakujua kwamba anawekeza ktk nchini hatari sana hapa duniani, kibaya zaidi akaamua kuoana na mama wa kabila katili zaidi hapa Afrika Mashariki na kati.
R.I.P .... Tob Cohen.
Leta evidence kwamba Kenya ni ya 7 duniani kwa uhalifu.
Kama ambavyo tafiti zimeitaja Kenya kuwa miongoni mwa nchi hatari duniani na kushika nafasi ya 7 duniani kote, hili limeendelea kudhihirika baada ya mwili wa mzungu tajiri aliyekuwa katika mzozo wa kutalikiana na mkewe toka kabila la Kikuyu kuokotwa porini.
Bwana Tob Cohen alikuwa ni miongoni mwa wazungu wanaomiliki uchumi wa Kenya na amewekeza sana Kenya, ikiwemo mashamba na viwanda. Tob Cohen hakujua kwamba anawekeza ktk nchini hatari sana hapa duniani, kibaya zaidi akaamua kuoana na mama wa kabila katili zaidi hapa Afrika Mashariki na kati.
R.I.P .... Tob Cohen.
Hakuna mauaji na watoto na walemavu wa ngozi huchinjwa kama kuku? Kenya is 'more heaven' than TanzaniaWe jamaa shida yako iko wapi? Yaani Tanzania hakuna mauwaji? Pengine Watanzania ni malaika wanaoishi mbinguni.
That guy wishes he was a Kenyan. Yaani alikuwa anawatch hii kitu live at the same time yenye sisi huku Kenya pia tunaiwatch live. Lazima ako na Dstv kutazama vipindi vya Kenya halafu anatutusi kila siku.Hakuna mauaji na watoto na walemavu wa ngozi huchinjwa kama kuku? Kenya is 'more heaven' than Tanzania
Hahaha 😁😁😂😂Mbona taarifa yenyewe iko kishambenga mkuu, au unatoa report ukiwa Kismayu kwa Amir Faheed wa Alshabab
& you say Tanzanians are not tribal. Huu si ukabila unaendekeza hapa? Nani kakwambia nipo Nairobi?Hahahaha, hahahaha, Nina uhakika wewe sio miongoni mwa hilo kabila.
Mambo vipi hapo Nairobi?
Nisamehe sana, nilidhani upo Nairobi, uko wapi hivi sasa?& you say Tanzanians are not tribal. Huu si ukabila unaendekeza hapa? Nani kakwambia nipo Nairobi?
Acha kelele nchi gani inalinda watu dhidi ya Wenzi wao au unataka Serekali ilale chumbani
Kama ambavyo tafiti zimeitaja Kenya kuwa miongoni mwa nchi hatari duniani na kushika nafasi ya 7 duniani kote, hili limeendelea kudhihirika baada ya mwili wa mzungu tajiri aliyekuwa katika mzozo wa kutalikiana na mkewe toka kabila la Kikuyu kuokotwa porini.
Bwana Tob Cohen alikuwa ni miongoni mwa wazungu wanaomiliki uchumi wa Kenya na amewekeza sana Kenya, ikiwemo mashamba na viwanda. Tob Cohen hakujua kwamba anawekeza ktk nchini hatari sana hapa duniani, kibaya zaidi akaamua kuoana na mama wa kabila katili zaidi hapa Afrika Mashariki na kati.
R.I.P .... Tob Cohen.
Ungenyamaza ungeonekana mwerevu. Koma kuhukumu watu. KOMA KABISA!Mkikuyu kwenye Mali na Ardhi usimwamini hata siku moja awe mwanaume au mwanamke.Kwa kifupi ni wabinafsi mno.
Narudia tena Mkikuyu kwenye Mali na Ardhi anakudedisha live.Ungenyamaza ungeonekana mwerevu. Koma kuhukumu watu. KOMA KABISA!