Kenya yafuta usajili wa Kanisa la Mchungaji Mackenzie

Kenya yafuta usajili wa Kanisa la Mchungaji Mackenzie

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Katika kujaribu kudhibiti taasisi za kidini, Serikali imefuta usajili wa Makanisa 6, yakiwemo Makanisa ya Mchungaji Ezekiel na Paul Mackenzie

PaulMackenzie kwa sasa yupo kizuizini kwa kurubuni Wafuasi wake kufunga hadi kufa ili kwenda Mbinguni, ambapo Miili zaidi ya 400 ilifukuliwa kwenye eneo la Kanisa lake, huku zaidi ya watu 600 katika eneo hilo na jirani wakiwa hawajulikani walipo

Mchungaji Ezekiel ambaye amekuwa Mshiriki wa Mackenzie amekuwa akichunguzwa kwa madai ya Utakatishaji Fedha, ambapo amekanusha akisisitiza kuwa madai hayo na kampeni ya kumchafua


........


Pastor Ezekiel, Mackenzie’s churches among five deregistered by State

In an effort to tighten regulation over religious organisations, the government has revoked the registrations of several churches, including Pastor Ezekiel Odero’s Kilifi-based Church.

Pastor Ezekiel’s New Life Prayer Centre and Church is one of the six affected by the recent deregistration.

Others include Good News International Ministries that is owned by Pastor Paul Mackenzie who is currently in detention, Helicopter of Christ Church, led by Thomas Wahome, the Theophilus Church and Kings Outreach Church.

The Kings Outreach Church notably separated from the group of umbrella churches linked to Prophet David Owuor.

Registrar of Societies, Chairman, Maria Nyariki, explained the decision, stating, “In exercise of the powers conferred by section 12 (1) of the Societies Act, the Registrar of Societies cancels the registration of the societies specified in the first column of the Schedule, with effect from the respective dates specified in the third column of the Schedule.”

This move to deregister these churches comes in the wake of an investigation into allegations of money laundering and cult-related activities associated with the church

Pastor Ezekiel has consistently denied all charges brought against him, vehemently asserting his innocence and attributing the allegations to a campaign to tarnish his reputation orchestrated by his adversaries.

Kenyan churches have been in the spotlight, especially after the Shakahola Cult probe led by Mackenzie that claimed the lives of over 400 people and the John Pesa’s church in Kisumu which chained its congregants.


Chanzo: NTV
 
Back
Top Bottom