Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Kenya yaifuata Tanzania kuhusu bendera ya EAC
Agizo hili pia linazihusu shule zote nchini humo.
Nchini Tanzania, tayari kuna agizo kwamba Bendera ya Taifa inafaa kupeperushwa ikifuatiwa na Bendera ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, vivyo hivyo Wimbo wa Taifa utaanza kupigwa ukifuatiwa na Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Mwandishi wa BBC David Wafula amezungumza na Waziri wa Utalii nchini Kenya Najib Balala ambaye alikuwa katika kamati iliyofanya uamuzi nchini Kenya na kwanza alimwuliza, umuhimu wa hatua hii ni upi?
Kenya yaifuata Tanzania kuhusu bendera ya EAC - BBC Swahili
- Saa moja iliyopita
Agizo hili pia linazihusu shule zote nchini humo.
Nchini Tanzania, tayari kuna agizo kwamba Bendera ya Taifa inafaa kupeperushwa ikifuatiwa na Bendera ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, vivyo hivyo Wimbo wa Taifa utaanza kupigwa ukifuatiwa na Wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Mwandishi wa BBC David Wafula amezungumza na Waziri wa Utalii nchini Kenya Najib Balala ambaye alikuwa katika kamati iliyofanya uamuzi nchini Kenya na kwanza alimwuliza, umuhimu wa hatua hii ni upi?
Kenya yaifuata Tanzania kuhusu bendera ya EAC - BBC Swahili