TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,079
- 3,367
Afu mtu anakwambia tz wavivu..Sijajua hizo takwimu au Habari wametoa wapi. Ila ukweli ni kwamba Tanzania ndio inaongoza kuuza vyakula huko SS na ukanda huu Kwa ujumla.
Na ndio maana WFP waliingia mkataba na serikali kununua mazao, pia na TRC Kwa ajili ya usafirishaji. Hiyo Kenya kuuza huko itakuwa ni Kwa ulanguzi tu wa kawaida na Kwa kiwango kidogo.
Hakuna nchi ya kupimana ubavu na TZ katika uuzaji na uzalishaji wa chakula ukanda huu.
Tony254 MK254
Sent using Jamii Forums mobile app
HIYO NDIO MAANA HALISI YA BIASHARAKenya imechangamkia fursa iliyotokea hivi karibuni ya uhitaji wa zao la mahindi nchini Sudan Kusini, hii ni baada ya Uganda ambayo ni tegemezi la South Sudan katika mazao kuwa na uzalishaji mdogo wa mahindi.
Jambo hili limepelekea bei ya zao la mahindi nchini Sudani Kusini (mwanachama wa Afrika Jumuiya ya Afrika Mashariki) kupanda.
Kenya inaitegemea Tanzania kwenye zao la mahindi, je kwenye hili kuna uwezekano mkubwa Tanzania imezidiwa ujanja na Kenya kwa Mara nyengine.
Kwani kuna uwezekano Wakenya wananunua mahindi Tanzania kwa bei ya chini kutoka kwa wakulima wa Tanzania na kuuza Sudan Kusini (mwanachama wa EAC) kwa bei ya juu.
Maize exports to S. Sudan rise on higher prices
Kuwalisha kenya, uganda na congo haiondoi uvivu wa watanzania kimsingi kwa ardhi na Hali ya hewa tuliyo nayo tulitakiwa ilisha afrika nzima sio vi nchi 3Afu mtu anakwambia tz wavivu..
Huwa sielewi kama kuna watu wanajua hata maana ya common sense..
Tumezoea porojo sana.. Maneno mengi details muhimu hatuzingatii. Ndio wakunya wanapo take advantage hapo.Afu mtu anakwambia tz wavivu..
Huwa sielewi kama kuna watu wanajua hata maana ya common sense..
Kulima Congo sidhani, kwasababu kadhaa,mosi ni ishu ya vita,pili Ile nchi Ina Madini mengi kwa hiyo inasemekana kuwa Serikali yao huwa inazuia kulima baadhi ya maeneo kwa kuhofia kuibiwa Madini.Hao DRC sasa hivi tunawaingiza EAC, tutakwenda kukodi ardhi kwao na kuifanya nchi yao kuwa bread-basket, tayari tumeanza kulima Sudan Kusini maana na wao pia wana ardhi kubwa ila wenyewe wadogo, vita vita tu ndio huwachelewesha.
Kulima Congo sidhani, kwasababu kadhaa,mosi ni ishu ya vita,pili Ile nchi Ina Madini mengi kwa hiyo inasemekana kuwa Serikali yao huwa inazuia kulima baadhi ya maeneo kwa kuhofia kuibiwa Madini.
Kuna ekari kibao hapo Kenya zenye rutuba hazitumiki zimeshikiliwa na wazungu na viongozi wenu ikiwemo Kenyatta family, hivi kweli mnashindwa kuanzisha mjadala wa kitaifa kwamba mtu yeyote aliyeshikilia ardhi bila kuitumia igawanywe kwa wenye mahitaji badala yake mnamendea ardhi za nchi zingine?," Kweli Kenya ni man eat man country".Hatulimi kote, tunaomba vibali kwenye mashamba yaliyotelekezwa, wana ekari milioni 80 zenye rotuba nzuri ila wanalima ekari milioni kumi tu, hapo ni suala la kuwekana nao sawa.
Kuhusu vita vita sio issue kubwa, kitu cha kurekebishwa pindi vijana wanapoanza kupata fursa. Nimeshuhudia Sudan Kusini majitu yaliyozoea kuuana kule maporini leo hii wametelekeza silaha na kujikita kwenye shughuli za kujikuza kiuchumi.
Sawa Mkuu.Ni suala la muda,muda ndio Utasema.Muda huwa haudanganyi.Hatulimi kote, tunaomba vibali kwenye mashamba yaliyotelekezwa, wana ekari milioni 80 zenye rotuba nzuri ila wanalima ekari milioni kumi tu, hapo ni suala la kuwekana nao sawa.
Kuhusu vita vita sio issue kubwa, kitu cha kurekebishwa pindi vijana wanapoanza kupata fursa. Nimeshuhudia Sudan Kusini majitu yaliyozoea kuuana kule maporini leo hii wametelekeza silaha na kujikita kwenye shughuli za kujikuza kiuchumi.
Wanajifanya wawekezaji kwenye ardhi ya nchi zingine,huku ardhi yao ilimilikiwa na watu wachache.Kuna ekari kibao hapo Kenya zenye rutuba hazitumiki zimeshikiliwa na wazungu na viongozi wenu ikiwemo Kenyatta family, hivi kweli mnashindwa kuanzisha mjadala wa kitaifa kwamba mtu yeyote aliyeshikilia ardhi bila kuitumia igawanywe kwa wenye mahitaji badala yake mnamendea ardhi za nchi zingine?," Kweli Kenya ni man eat man country".
Unaota ndoto za Kibera, umeona wapi duniani kwa nchi ambayo uchumi wake ni "Agriculture based" ikategemea ardhi ya nchi zingine?, hivi unajielewa kweli wewe?
Wewe personally umefanya Nini?? Umefaidika Nini??umechangamkaje?Nimecheka sana huu uzi, na mtalia lia sana subiri, mama endelea kufungua nchi tuwafundishe hawa namna ya kuchangamka.....
Yatapanda bei sana hivi KaribuniKenya imechangamkia fursa iliyotokea hivi karibuni ya uhitaji wa zao la mahindi nchini Sudan Kusini, hii ni baada ya Uganda ambayo ni tegemezi la South Sudan katika mazao kuwa na uzalishaji mdogo wa mahindi.
Jambo hili limepelekea bei ya zao la mahindi nchini Sudani Kusini (mwanachama wa Afrika Jumuiya ya Afrika Mashariki) kupanda.
Kenya inaitegemea Tanzania kwenye zao la mahindi, je kwenye hili kuna uwezekano mkubwa Tanzania imezidiwa ujanja na Kenya kwa Mara nyengine.
Kwani kuna uwezekano Wakenya wananunua mahindi Tanzania kwa bei ya chini kutoka kwa wakulima wa Tanzania na kuuza Sudan Kusini (mwanachama wa EAC) kwa bei ya juu.
Maize exports to S. Sudan rise on higher prices
bro,, kwani kwaio unapinga au unakataa??Afu mtu anakwambia tz wavivu..
Huwa sielewi kama kuna watu wanajua hata maana ya common sense..
Unawaza pesa zaidi kuliko hudumaNimecheka sana huu uzi, na mtalia lia sana subiri, mama endelea kufungua nchi tuwafundishe hawa namna ya kuchangamka.....
Unawaza pesa zaidi kuliko huduma
Kama Sudan wamepata chakula hilo ni jambo la heri
Usipende kushindana kwa kila jambo bali fikiri utamsaidia vipi mwenye uhitaji...
Tutaendelea kuwauzia mahindi maparachichi muuze mpate pesa huku mkiendelea kufa na njaa kama Wakenya
Akili nyingi huondoa maarifa
Akili ndogo uwezo wa kufikiri hunaKenya imechangamkia fursa iliyotokea hivi karibuni ya uhitaji wa zao la mahindi nchini Sudan Kusini, hii ni baada ya Uganda ambayo ni tegemezi la South Sudan katika mazao kuwa na uzalishaji mdogo wa mahindi.
Jambo hili limepelekea bei ya zao la mahindi nchini Sudani Kusini (mwanachama wa Afrika Jumuiya ya Afrika Mashariki) kupanda.
Kenya inaitegemea Tanzania kwenye zao la mahindi, je kwenye hili kuna uwezekano mkubwa Tanzania imezidiwa ujanja na Kenya kwa Mara nyengine.
Kwani kuna uwezekano Wakenya wananunua mahindi Tanzania kwa bei ya chini kutoka kwa wakulima wa Tanzania na kuuza Sudan Kusini (mwanachama wa EAC) kwa bei ya juu.
Maize exports to S. Sudan rise on higher prices
Kabisa.. ni vizuri wakulima wawe Huru kuuza bidhaa zao popote na kokote duniani. Upuuzi wa kuzuia eti sababu waTz watakufa njaa.. acha wafe tu wajinga wasiotaka kulima na wavivu shinzi type wakati wenzao wanalima wao wanalala tu..HIYO NDIO MAANA HALISI YA BIASHARA
Mama karubuniwa na wafanyabiashara sasa anazidi kutuingiza chaka kila kitu kimepanda beiKenya imechangamkia fursa iliyotokea hivi karibuni ya uhitaji wa zao la mahindi nchini Sudan Kusini, hii ni baada ya Uganda ambayo ni tegemezi la South Sudan katika mazao kuwa na uzalishaji mdogo wa mahindi.
Jambo hili limepelekea bei ya zao la mahindi nchini Sudani Kusini (mwanachama wa Afrika Jumuiya ya Afrika Mashariki) kupanda.
Kenya inaitegemea Tanzania kwenye zao la mahindi, je kwenye hili kuna uwezekano mkubwa Tanzania imezidiwa ujanja na Kenya kwa Mara nyengine.
Kwani kuna uwezekano Wakenya wananunua mahindi Tanzania kwa bei ya chini kutoka kwa wakulima wa Tanzania na kuuza Sudan Kusini (mwanachama wa EAC) kwa bei ya juu.
Maize exports to S. Sudan rise on higher prices