Kenya yaipiga bao Tanzania, yanunua mahindi Tanzania na kuyauza kwa bei ya juu Sudan Kusini

Afu mtu anakwambia tz wavivu..
Huwa sielewi kama kuna watu wanajua hata maana ya common sense..
 
HIYO NDIO MAANA HALISI YA BIASHARA
 
Afu mtu anakwambia tz wavivu..
Huwa sielewi kama kuna watu wanajua hata maana ya common sense..
Kuwalisha kenya, uganda na congo haiondoi uvivu wa watanzania kimsingi kwa ardhi na Hali ya hewa tuliyo nayo tulitakiwa ilisha afrika nzima sio vi nchi 3
 
Afu mtu anakwambia tz wavivu..
Huwa sielewi kama kuna watu wanajua hata maana ya common sense..
Tumezoea porojo sana.. Maneno mengi details muhimu hatuzingatii. Ndio wakunya wanapo take advantage hapo.

Na ni kweli Bongo kidogo maisha afadhali ndio maana spirit ya hustling pia iko chini compare na hao wanaoishi jangwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao DRC sasa hivi tunawaingiza EAC, tutakwenda kukodi ardhi kwao na kuifanya nchi yao kuwa bread-basket, tayari tumeanza kulima Sudan Kusini maana na wao pia wana ardhi kubwa ila wenyewe wadogo, vita vita tu ndio huwachelewesha.
Kulima Congo sidhani, kwasababu kadhaa,mosi ni ishu ya vita,pili Ile nchi Ina Madini mengi kwa hiyo inasemekana kuwa Serikali yao huwa inazuia kulima baadhi ya maeneo kwa kuhofia kuibiwa Madini.
 
Kulima Congo sidhani, kwasababu kadhaa,mosi ni ishu ya vita,pili Ile nchi Ina Madini mengi kwa hiyo inasemekana kuwa Serikali yao huwa inazuia kulima baadhi ya maeneo kwa kuhofia kuibiwa Madini.

Hatulimi kote, tunaomba vibali kwenye mashamba yaliyotelekezwa, wana ekari milioni 80 zenye rotuba nzuri ila wanalima ekari milioni kumi tu, hapo ni suala la kuwekana nao sawa.
Kuhusu vita vita sio issue kubwa, kitu cha kurekebishwa pindi vijana wanapoanza kupata fursa. Nimeshuhudia Sudan Kusini majitu yaliyozoea kuuana kule maporini leo hii wametelekeza silaha na kujikita kwenye shughuli za kujikuza kiuchumi.
 
Kuna ekari kibao hapo Kenya zenye rutuba hazitumiki zimeshikiliwa na wazungu na viongozi wenu ikiwemo Kenyatta family, hivi kweli mnashindwa kuanzisha mjadala wa kitaifa kwamba mtu yeyote aliyeshikilia ardhi bila kuitumia igawanywe kwa wenye mahitaji badala yake mnamendea ardhi za nchi zingine?," Kweli Kenya ni man eat man country".

Unaota ndoto za Kibera, umeona wapi duniani kwa nchi ambayo uchumi wake ni "Agriculture based" ikategemea ardhi ya nchi zingine?, hivi unajielewa kweli wewe?
 
Sawa Mkuu.Ni suala la muda,muda ndio Utasema.Muda huwa haudanganyi.
 
Reactions: Oii
Wanajifanya wawekezaji kwenye ardhi ya nchi zingine,huku ardhi yao ilimilikiwa na watu wachache.
 
Nimecheka sana huu uzi, na mtalia lia sana subiri, mama endelea kufungua nchi tuwafundishe hawa namna ya kuchangamka.....
Wewe personally umefanya Nini?? Umefaidika Nini??umechangamkaje?
 
Mahindi
Yatapanda bei sana hivi Karibuni
 
Nimecheka sana huu uzi, na mtalia lia sana subiri, mama endelea kufungua nchi tuwafundishe hawa namna ya kuchangamka.....
Unawaza pesa zaidi kuliko huduma
Kama Sudan wamepata chakula hilo ni jambo la heri
Usipende kushindana kwa kila jambo bali fikiri utamsaidia vipi mwenye uhitaji...
Tutaendelea kuwauzia mahindi maparachichi muuze mpate pesa huku mkiendelea kufa na njaa kama Wakenya
Akili nyingi huondoa maarifa
 

Mlime nyie sisi tupige hela, inaitwa kutumia ubongo....hehehehe!!!
 
Akili ndogo uwezo wa kufikiri huna
Sisi tumewauzi nyie kwa faidagame over na nyie kwenda kuuza ni sawa wala sio ujanja ni biashara ukiwa smart.
Kuwa Big thinker sio kuwa kilaza na kuwa na fikra za kizamani.
 
Nyie mmeleza hela TZ hizo tunaendelea na mambo mengine
Sudan ni soko dogo sana ukilinganisha na Congo
 
HIYO NDIO MAANA HALISI YA BIASHARA
Kabisa.. ni vizuri wakulima wawe Huru kuuza bidhaa zao popote na kokote duniani. Upuuzi wa kuzuia eti sababu waTz watakufa njaa.. acha wafe tu wajinga wasiotaka kulima na wavivu shinzi type wakati wenzao wanalima wao wanalala tu..
 
Wewe una mzimu wa Magufuli wa wivu
Mfanyabiashara wa Tanzania kauza mahindi yake kwa mkenya kwa bei waliokubaliana au umesukia wamedhulumiwa?
Sasa Mkenya na yeye akienda kuuza mahali pake akapata faida Kuna shida gani? NDIO BIASHARA

Huu Uzi unaandikwa na watu wajinga tu.
Usifikiri kufanya biashara Sudan kusini ni mchezo
Kila mtu anafanya biashara kwenye level yake ndio maisha
Maisha ndivyo yalivyo
Mungu ametubariki ardhi yenye rutuba si kwa ajili yetu wenyewe bali na wengine
Ili tufaidiane . Mipaka ya nchi na nchi ni vipimo tu but tuko kwa kufaidiana
Kila mtu afaidike na mwenzio
Ndio maana Mungu alimuambia Abraham kuwa nitakubariki nawe utakuwa baraka kwa wengine.
Niwatakie Mwaka mpya wenye mafanikio
Wivu ni mbaya.
Panua hema acha kulalamika
 
Mama karubuniwa na wafanyabiashara sasa anazidi kutuingiza chaka kila kitu kimepanda bei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…