[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji1787][emoji1787]Kwasababu Jaluo ni ndugu zetu, tunao huku Tanzania, ila Gikuyu huku hawapo.
Hiyo ni kesi moja moja, hutokea dunia nzima, lakini kufika kiwango cha kuongoza bara zima la Afrika katika mambo ya kishenzi kama "Corruption, police killings, tribalism, and Nepotism, lazima hiyo nchi iwe ni failed stateKwenu Lissu liliishia wapi? Enyi nchi ya amani bila Police Brutality
Mzee unajitoa fahamu? Hadi leo jamaa wake Azorri hawajui alipo! Ben Saanane kapotezwa kisa tu alihoji alafu useme Tz nchi ya amani?Hiyo ni kesi moja moja, hutokea dunia nzima, lakini kufika kiwango cha kuongoza bara zima la Afrika katika mambo ya kishenzi kama "Corruption, police killings, tribalism, and Nepotism, lazima hiyo nchi iwe ni failed state
Wewe tatizo lako unataka kushindana na dunia nzima, hutoweza kaka usipoteze muda wako, hayo yoote unayoyasema, dunia nzima inayajua, sio wewe peke yako, lakini ukiyajumlisha hayo yote hayafikii hata 5% ya unyama unaofanyika Kenya tanfu tupate Uhuru, ndio sababu vyombo vyote vya kimataifa vimeitaja Kenya miongoni mwa nchi hatari zaidi duniani, na nchi ya kwanza Afrika katika "Exyrajudicial killings and police brutality", sasa wewe endelea kupingana na dunia nzima ukidhani wewe ndiye mwenye kujua zaidi kuliko hivyo vyombo vya kimataifa.Mzee unajitoa fahamu? Hadi leo jamaa wake Azorri hawajui alipo! Ben Saanane kapotezwa kisa tu alihoji alafu useme Tz nchi ya amani?
Usiwe mnafiki.
Kwhyo hta akitekwa babako poa tu, kw sababu n mmoja na hafikii hta 1% ya population yenu...Wewe tatizo lako unataka kushindana na dunia nzima, hutoweza kaka usipoteze muda wako, hayo yoote unayoyasema, dunia nzima inayajua, sio wewe peke yako, lakini ukiyajumlisha hayo yote hayafikii hata 5% ya unyama unaofanyika Kenya tanfu tupate Uhuru, ndio sababu vyombo vyote vya kimataifa vimeitaja Kenya miongoni mwa nchi hatari zaidi duniani, na nchi ya kwanza Afrika katika "Exyrajudicial killings and police brutality", sasa wewe endelea kupingana na dunia nzima ukidhani wewe ndiye mwenye kujua zaidi kuliko hivyo vyombo vya kimataifa.
Mimi sijasema hakuna unyama unaofanyika Tanzania, ila ni chini ya 5% ya unyama unaofanyika Kenya, ndio sababu Tanzania haihashika namba 1 Afrika badala yake ni namba 7, hii maana yake bado tuna sehemu za kurekebisha. Ila kwa Kenya, ninyi hamna sehemu za kurekebisha, ninyi mnapaswa kuanza upwa kwasababu nchi yote imeoza.Kwhyo hta akitekwa babako poa tu, kw sababu n mmoja na hafikii hta 1% ya population yenu...
View attachment 1262052
Kwhyo kuna mauaji ambayo ni nafuu hapa duniani..Mimi sijasema hakuna unyama unaofanyika Tanzania, ila ni chini ya 5% ya unyama unaofanyika Kenya, ndio sababu Tanzania haihashika namba 1 Afrika badala yake ni namba 7, hii maana yake bado tuna sehemu za kurekebisha. Ila kwa Kenya, ninyi hamna sehemu za kurekebisha, ninyi mnapaswa kuanza upwa kwasababu nchi yote imeoza.
Ndio maana Kenya, Somalia, South Sudan, Yemen na Afghanistan ni nchi hatari zaidi kuishi, hiyo haina maana USA hakuna mauaji, lakini ni "safe" zaidi kuishi USA, Tanzania au Botswana, kuliko kuishi Kenya au YemenKwhyo kuna mauaji ambayo ni nafuu hapa duniani..
MUNGU wangu
Hku kenya iki host office nyingi sana za kimataifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio maana Kenya, Somalia, South Sudan, Yemen na Afghanistan ni nchi hatari zaidi kuishi, hiyo haina maana USA hakuna mauaji, lakini ni "safe" zaidi kuishi USA, Tanzania au Botswana, kuliko kuishi Kenya au Yemen
Ndio maana Kenya, Somalia, South Sudan, Yemen na Afghanistan ni nchi hatari zaidi kuishi, hiyo haina maana USA hakuna mauaji, lakini ni "safe" zaidi kuishi USA, Tanzania au Botswana, kuliko kuishi Kenya au Yemen
Hivyo uhai wa watu wachache ni sawa tu? Kwako una afadhali. Jamaa ya Ben, Agwanda, Aquillina na wengine wengi unajua machungu wanayopitia?Wewe tatizo lako unataka kushindana na dunia nzima, hutoweza kaka usipoteze muda wako, hayo yoote unayoyasema, dunia nzima inayajua, sio wewe peke yako, lakini ukiyajumlisha hayo yote hayafikii hata 5% ya unyama unaofanyika Kenya tanfu tupate Uhuru, ndio sababu vyombo vyote vya kimataifa vimeitaja Kenya miongoni mwa nchi hatari zaidi duniani, na nchi ya kwanza Afrika katika "Exyrajudicial killings and police brutality", sasa wewe endelea kupingana na dunia nzima ukidhani wewe ndiye mwenye kujua zaidi kuliko hivyo vyombo vya kimataifa.
Yes, lakini ni miongoni mwa nchi hatari sana, kumbuka hao "International workers" wanaishi maeneo salama na wabalindwa, sio kama ninyi walala hoi. Haitotokea POLISI wa Kenya kumpiga mfanyakazi wa UN.Hku kenya iki host office nyingi sana za kimataifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utazunguka yote hayo, bottom line ni;Hivyo uhai wa watu wachache ni sawa tu? Kwako una afadhali. Jamaa ya Ben, Agwanda, Aquillina na wengine wengi unajua machungu wanayopitia?
Albino waliogeuzwa vilema na wengine kupoteza maisha ni sawa tu kwako kwa vile ni "Isolated incident" na haijafikia 5% ya takwimu zako unazotoa akilini kama unavyotaka kutuaminisha? Wewe kituko kweli Mkuu!
Albino waliouliwa hawakuzidi 75, lakini ukijumlisha Jaluo, waisilamu huko pwani, wanauliwa na POLISI, majambazi na Alshabaab ni zaidi ya wakenya Elfu 50.Hivyo uhai wa watu wachache ni sawa tu? Kwako una afadhali. Jamaa ya Ben, Agwanda, Aquillina na wengine wengi unajua machungu wanayopitia?
Albino waliogeuzwa vilema na wengine kupoteza maisha ni sawa tu kwako kwa vile ni "Isolated incident" na haijafikia 5% ya takwimu zako unazotoa akilini kama unavyotaka kutuaminisha? Wewe kituko kweli Mkuu!
Maeneo sala wapi hko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]halafu naona umekuja pazuri, tupe hivyo vigezo mpka vinafanya nchi ku host office za kimataifa...Yes, lakini ni miongoni mwa nchi hatari sana, kumbuka hao "International workers" wanaishi maeneo salama na wabalindwa, sio kama ninyi walala hoi. Haitotokea POLISI wa Kenya kumpiga mfanyakazi wa UN.
Vigezo vinavyitumika kujua nchi ina amani au hapana sio kuwepo kwa ofisi za UN, Botswana na Mauritius zinaongoza kwa Amani Afrika, hakuna hata ofisi moja ya UN, hata balozi za nchi za Europe hazipo Mauritius, lakini inaongoza kwa Amani Afrika. Kenya mko na hali mbaya lazima mkubali huo ukweli na muanze kuchukua hatua. Kuendeleza "denial" hakutowasaidia.
Wakenya elfu hamsini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Albino waliouliwa hawakuzidi 75, lakini ukijumlisha Jaluo, waisilamu huko pwani, wanauliwa na POLISI, majambazi na Alshabaab ni zaidi ya wakenya Elfu 50.