Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali ya hao CHADEMA huwa wanapiga mikelele tu.CCM sasa,hadi "mwandishi wa muandiko uenezwao" anajulikana kwa kudandiwa mgongoni.Ahahahahaaa!Chadema hawaelewi hii kitu, wakiongozwa na Lissu
Yukosawa...ni mrengo...huwezi sema Sam yuko mlengo fulani wa siasa..ni mrengo..hebu google vyama vya siasa vya Marekani...kuna mlengo na mrengo! I bet niko sawa kukusahihishaMrengo [emoji777]
Mlengo [emoji3581]
Hongera kwa hilo.TANZANIA tuige hiliView attachment 2369350
Tamthiliya,hata media's zetu wapo watu wengi aina hiyotamthilia za kifilipino zina promote sana huu ujinga.
C mnajuanaAfadhali ya hao CHADEMA huwa wanapiga mikelele tu.CCM sasa,hadi "mwandishi wa muandiko uenezwao" anajulikana kwa kudandiwa mgongoni.Ahahahahaaa!
Hata ukiandika kivivu kama umeshiba kande au kasichana kalikoanza kutumia simu janja, haisaidii kukuepsha weye na genge lako kuparamiwa migongoni.C mnajuana
Sasa kwann niumize kichwa kuandika maneno mengi wa zumbukuku wa chademaHata ukiandika kivivu kama umeshiba kande au kasichana kalikoanza kutumia simu janja, haisaidii kukuepsha weye na genge lako kuparamiwa migongoni.
Vipi serikali yako? Si ilitoa tamko la kumkana makondaChadema hawaelewi hii kitu, wakiongozwa na Lissu