Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,867
- 19,250
Hii nchi ni kichekesho cha dunia sasa hivi
Pamoja na kupewa mkopo mkubwa na WB pamoja na IMF kwa ajili ya kupunguza makali ya Corona kwenye uchumi lakini bado wameenda kukopa tena dollars billion 1kwaajili ya kugharamia bajeti yao ya Taifa
Tunajua Kenya huendesha budget yao zaidi ya 65% kwa mikopo na misaada kutoka ubeberuni lakini hapa sioni sense ya zile pesa zaidi ya billion 1.6 USD walizokopa kwa interests kwaaajili ya kukabiliana na Corona economic injuries
Na hii pesa yote itaenda kupanua matumbo ya wachache huku wakenya wakiendelea kunyukwa na kipindupindu sababu ya ukosefu mkubwa wa maji uliopo Kenya nzima, mpaka said zaidi ya wakenya 30 washakufa na kipindupindu
Locust
Cholera
Corona
Lack of water
Hunger
Slums
Ufisadi
Floods
Debts
Haya ndio majinamizi yanayoikaba Kenya kwa sasa
Also Read: World Bank approves USD 1 billion funding for COVID-19 response in Kenya - JamiiForums
Pamoja na kupewa mkopo mkubwa na WB pamoja na IMF kwa ajili ya kupunguza makali ya Corona kwenye uchumi lakini bado wameenda kukopa tena dollars billion 1kwaajili ya kugharamia bajeti yao ya Taifa
Tunajua Kenya huendesha budget yao zaidi ya 65% kwa mikopo na misaada kutoka ubeberuni lakini hapa sioni sense ya zile pesa zaidi ya billion 1.6 USD walizokopa kwa interests kwaaajili ya kukabiliana na Corona economic injuries
Na hii pesa yote itaenda kupanua matumbo ya wachache huku wakenya wakiendelea kunyukwa na kipindupindu sababu ya ukosefu mkubwa wa maji uliopo Kenya nzima, mpaka said zaidi ya wakenya 30 washakufa na kipindupindu
Locust
Cholera
Corona
Lack of water
Hunger
Slums
Ufisadi
Floods
Debts
Haya ndio majinamizi yanayoikaba Kenya kwa sasa
Also Read: World Bank approves USD 1 billion funding for COVID-19 response in Kenya - JamiiForums