Kenya yakusanya kodi mara mbili ya Tanzania - pesa yetu ya ndan



Alas, don't let the cat out of bag. It is horrible.πŸ€”πŸ€” . In this way Kenyans live in hardships. Very sorry.
 
Aliyewalaani keshakufa πŸ˜₯

Toa blah blah hapa, nimeshakupa kubwa
The number of classrooms were too low, especially in rural areas, often causing 100-200 students to be in one classroom, and at ten government schools, there was only one teacher to teach them.[12] Teacher to student ratio was, on average, 1:51, and textbook to student ratio was about 1:10 (as of 2018). Tanzania has plans to employ around 10,000 primary school teachers this year and is trying to focus on their credentials
 
Kenya mamburura

 

Where do you get your unreliable stats?
I love your analysis, you seem to be our of your emotions today.
 
Shida kubwa ya Tanzania ni kwamba informal sector ni kubwa na serikali haijaweza kuirasimisha ili ichangie kodi fairly!
 
Uganda na Tz ni Primary Kids wa Kenya. Rule of Law (Constitution) , Democracy, Taxation, Infrastucture Sector, Housing & Urbanization. We have to learn from them. Kenya ina tenga hela nyingi kwenye Research & Development. Tz ina tenga pesa nyingi kwa Polisi kupiga wapinzani, kurudia uchaguzi, kununua Wabunge na madiwani wa upinzani! Tz hakuna uwezekaji kwa YOUTHS, Agriculture, Small Industry, nk.

Kenya hadi Hotelini ni ELECTRONIC RECEIPT (EFD). 70% ya shopping ni Supermarkets. Kenya karibu 80% ya Raia wake wote wana TIN.

Tz ukipinga Katiba, Sera mbovu, na UMUNGU MTU. Unaitwa CHADEMA. Wajinga ndio wajuaji Tz. Haya tuendelee na Ujinga wetu.
 
tatzo la Kenya ndo hili kujisifia kwingi utaskia Mara bajeti yao kubwa Leo kodi πŸ‘„πŸ‘„blaa blaa
 
Nadhani hii habari ni ya zamani kidogo maana kwa sasa wanafunzi wengi wanaomaliza darasa la 7 wanajiunga kidato cha kwanza. Shule nyingi za kata zimejengwa ambazo zimeongeza idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa. Pia kupunguzwa kwa ufaulu form 2 kwenda form 3 kumeongeza idadi ya wanafunzi wanaomaliza form 4.

Kwahiyo kwa idadi tumeongeza sana wanafunzi wanaomaliza form 4 ila ubora wa elimu ndio unazidi kushuka maana hakuna mchujo mkali kama zamani. Watoto wengi wanafaulu kwenda form 1 wakati hata kusoma hawajui. Hii uswahilini kwetu inaitwa bora liende.

Vipi hatuwezi kuwaazima Magufuli hata kwa mwaka mmoja tu aje atumbue majipu huko na awezeshe elimu bure?
 
Naona ulienda kuokota habari [emoji23][emoji23][emoji23]pole kwa kupewa moja kubwa
Ahsante sana kijibabu kwa ukarimu wako lakini hatuhitaji udikteta huku.
Kuhusu elimu bure, ilianzishwa na serikali ya Kibaki.Hapo kwenu imeanzishwa juzi na kikwete
 
Watanzania wa siku hizi kwenye jukwaa hili ni ovyo kupindukia. Watz wazalendo kama Mwanzi1 na Toyota escudo walikuwa wanajibu hoja kwa hoja. Sio huu upupu predictable.
 
They have a bigger population and all the resources yet they don't pay taxes. Kazi ni kushinda hapa JF kupiga domo and yapping Kenya this Kenya that. Bure kabisa
Hujawaambia freshi hapo πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii sasa ndio shida ya hizi nchi mbili. Sisi ni majirani lakini sisi si mandugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…