Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
Kenya imekuwa nchi ya kwanza kusini mwa jangwa la Sahara kuwa mshirka wa kuduma wa Marekani asiyefungamana na NATO.
Hivyo anaungana na nchi nyingine za Afrika zenye hadhi hiyo ambazo ni Misri, Morocco na Tunisia.
Kenya itanufaika kwa mengi kupita ushirikiano huo hasa masuala ya ulinzi.
Nawasilisha
Hivyo anaungana na nchi nyingine za Afrika zenye hadhi hiyo ambazo ni Misri, Morocco na Tunisia.
Kenya itanufaika kwa mengi kupita ushirikiano huo hasa masuala ya ulinzi.
Nawasilisha