Kenya yapata hasara ya Kshs bilioni 6 kwenye wimbi la maandamno

Kenya yapata hasara ya Kshs bilioni 6 kwenye wimbi la maandamno

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Msemaji wa Serikali ya Kenya, Isaac Mwaura amesema kuwa taifa hilo limepoteza zaidi ya pesa za kenya bilioni 6 (zaidi ya bilioni 123 za Tanzania) kutokana na wimbi la maandamano yaliyoshuhudiwa katika mwezi uliopita.

Katika taarifa kwa wanahabari Mwaura ameeleza kuwa nchi imepoteza mabilioni kutokana na kufungwa kwa biashara wakati wa maandamano yaliyofanyika Jumanne na Alhamisi tangu Juni 18, 2024.

Ameongeza kuwa biashara kadhaa pia ziliporwa na mali kuharibiwa na wahuni waliojipenyeza katika maandamano hayo ya amani na kusababisha fujo.

1721304898121.jpeg
 
Pesa ndogo iyo kule Tz iyo pesa ndo ili tumika kununua magari ya viongozi few months ago
 
Wameokoa bei gani baada ya kufuta mabilioni ya ofisi za wenza wa viongozi na kodi

Hapo hasara ni damu za watu tu , what is money by the way!
USSR
 
Back
Top Bottom