Kenya yapata idhini ya kufanya majaribio ya chanjo ya Corona kwa binadamu

Hii habari ina walakini mkubwa.
Kichwa cha habari ni kuhusu chanjo pamoja na picha inaonyesha chanjo.
Lakini majaribio ni dawa/tiba za kawaida tuu wala sio chanjo.
 
May 7, 2020
Dar es Tanzania

Ndege rasmi ya Rais yatua na mzigo wa msaada wa dawa toka serikali ya Madagascar na waziri wa Mambo ya Nje Mh. Prof. Palamagamba Aidan John Kabudi kuwa mmoja wa waTanzania wa mwanzo kugumia dawa hiyo adhimu ya kiAfrika ya kupambana na coronavirus wanaosababisha gonjwa la hatari la Covid-19
 
Mnapoteza muda wenu, hii dawa ya CVO kutoka Madagascar inatibu malaria tu, sio Corona. Nchi nyingi za Afrika zimeigomea baada ya utafiti kutoka kwa WHO na Africa CDC pia kuonesha kwamba
haiwezi ikatibu Corona. Nchi mbili tu Afrika ndio zimeikubali, Guinea na Tz. Jana kule magharibi ECOWAS(nchi 15) wameikana hadharani baada ya nchi ya Guinea kuiagiza. ECOWAS 'rejects' COVID-Organics, Madagascar's untested virus cure | Africanews
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…