joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Tunawaonea wivu kwa kupata wanawapa chakula bure.Hamna uwezo wa kupatiana misaada labda tuwapatie na tuwasamehe Madeni. Nipe link ya Tz kupatia Kenya misaada nami nikupe link ya Kenya kuipata Tz...unabisha?
Uliza low IQ mwenzako
Kwa kuwapa Tz msaada.
Wewe pia umekula ban juzi ukarudi ukiwa umenuna na kulalamika sana. Mimi bado sijakula ban licha ya kutukana watu sana.Anaita admin utafikiri yupo kwenye whatsapp group πππ
Kuna siku alitukana humu akala ban naona sasa hivi ameshika adabu.
Juzi ya mwezi upi huo?Wewe pia umekula ban juzi ukarudi ukiwa umenuna na kulalamika sana. Mimi bado sijakula ban licha ya kutukana watu sana.
Miezi miwili mitatu iliyopita. Usipinge kama unajua vizuri kilio uliyotoa humu bado inaeza tafutwa ikapatikana.Juzi ya mwezi upi huo?
Nitajie county tano ambazo wazungu wanamiliki mashambaUvivu, uzembe, ufisadi,
Mashamba yenye rutuba nzuri na makubwa yanamilikiwa na wazungu huku wakilima maua na chai,
Walifisadi miradi mikubwa ya umwagiliaji.
Mpe link mwenzako lini mliipatia kenya msaada wachana na mambo ya kiswahili[emoji1787]Nakuuliza ww na kiswahili chako....
Kwenye kiswahili neno Juzi lina maana gani?Miezi miwili mitatu iliyopita. Usipinge kama unajua vizuri kilio uliyotoa humu bado inaeza tafutwa ikapatikana.
Wazungu wanamiliki mashamba kenya au hawamiliki?
Dude,how old are you?Hapa vp?
Bila tz Kenya haipo...Mpe link mwenzako lini mliipatia kenya msaada wachana na mambo ya kiswahili[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Msijali, mkikumbwa na matatizo tupo..Bila tz Kenya haipo...
Heheee!!nitajie county tano tu ambazo wazungu wanamiliki mashamba kenya ni log off jf..Wazungu wanamiliki mashamba kenya au hawamiliki?
Nataka jibu sio story.
Have you eaten?
Mashamba ya Kericho ( mfano sotik highlands, Unilever)Heheee!!nitajie county tano tu ambazo wazungu wanamiliki mashamba kenya ni log off jf..
Manake nikikupa zote 47 utakimbia, upo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bali unakula yellow maize from US...congrats
Criticos Taita TavetaMashamba ya Kericho ( mfano sotik highlands, Unilever)
Pale Nakuru vipi
Na kule laikipia jee
Ooh na naivashaj
Tena Tea fams na ranches huku nyie mkibaki kushangaa shangaa tu,
Bila kusahau familia ta Rais wenu πππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hili povu si la EAHii habari inakupa nyege sana.