babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Siwezi kimbia kisa mjinga kama wewe,Umeanza kukimbia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usiende jamani, nataka nikuonyeshe vile machothara yanfanya yao katika shamba la bibi
Sent using Jamii Forums mobile app
Machothara hawamiliki mashamba pekeake, hao wanamiliki karibia kila kitu hkoSiwezi kimbia kisa mjinga kama wewe,
Embu tuambie hayo mashamba yanayomilikiwa na hao.
Cha kwanza nilikwambia ulete county tano, wewe ukalete tatu..hapo umefeli tayari, tena hzo tatu ukaziorodhesha bila mashamba..sasa ndio ukafeli zaidi manake ujue kuna watu wanfuatilia hzi threads...Umeanza kubadilisha gear hewani, nimejibu ulichouliza hayo mengine hayanihusu alafu ulisema utatoka jf nashangaa bado upo,
Hayo mengine kawaulize wakazi wa hayo maeneo,
Alafu yule kiongozi wa kericho alifikia wapi na yale mashamba mliyonyanganywa na wazungu.
Naona unatafuta pa kujificha baada ya kupokea kichapo,Machothara hawamiliki mashamba pekeake, hao wanamiliki karibia kila kitu hko
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kupokea kichapo ukabadili muelekeo haraka haraka,Cha kwanza nilikwambia ulete county tano, wewe ukalete tatu..hapo umefeli tayari, tena hzo tatu ukaziorodhesha bila mashamba..sasa ndio ukafeli zaidi manake ujue kuna watu wanfuatilia hzi threads...
So bado jf nipo nipo tu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti kichapo, nasubiria county zangu tano hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baada ya kupokea kichapo ukabadili muelekeo haraka haraka,
Usiogope kuaibika maana ni fake ID sometimes Ukiona umezidiwa fanya kumute tu maana huwa sina huruma na wajinga sampuli yako.
Kwhyo hutaki twende kw machotharaNaona unatafuta pa kujificha baada ya kupokea kichapo,
Nilisha kuambia hakikisha una tumia akili kubishana na mimi na sio makwapa maana utaaibika tu upende usipende.
Mashamba ya KerichoEti kichapo, nasubiria county zangu tano hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu tunavuka south tuone vile machothara wanafanya yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh taja hayo mashamba tuyajue.
Heheeeee!!si uneumia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mashamba ya Kericho
Nakuru vipi
Na kule laikipia
Naivasha
Taita taveta,
Ukija tena kwa Kenyatta family [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani hapo nimekutajia ngapi Chaubishi?Heheeeee!!si uneumia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani out of 47 counties ubashindwa kutaja tano tu ..kwel kenya inamilikiwa na wazungu[emoji122][emoji122][emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekwambia hawamiliki mashamba tu, wanamiliki karibia kila kitu nchini...Eeh taja hayo mashamba tuyajue.
Mwanzo Ulisema mashamba sasa hivi unachange gear,Nimekwambia hawamiliki mashamba tu, wanamiliki karibia kila kitu nchini...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzungu gani anamiliki ardhi taita taveta, remember naivasha is in nakuru county...Kwani hapo nimekutajia ngapi Chaubishi?
Alafu jifunze kuandika.
Tatizo uli quote kitu ambacho huku kisoma vizuri[emoji115][emoji115][emoji115]Tukimaliza kenya tunakuja bongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu wangu si wanamiliki nchi nzima jamani hko machothara
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzo Ulisema mashamba sasa hivi unachange gear,
Kwa kweli wewe ni kilaza.
Huyu hapa na Hakuna chenye mnaweza kumfanya,Mzungu gani anamiliki ardhi taita taveta
Embu niambie ni nini wamenyanganya wananchi kama wanavyofanya huko failed state.Tatizo uli quote kitu ambacho huku kisoma vizuri[emoji115][emoji115][emoji115]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo na yule wa kajiado hawana tofauti na yule mkulime wenu anayekamata ndege...Huyu hapa na Hakuna chenye mnaweza kumfanya,
Basil Criticos.
Kunyanganya tena...Embu niambie ni nini wamenyanganya wananchi kama wanavyofanya huko failed state.