Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Leo Kenya wamefanikiwa kutengeneza na kuirusha Satellite yao ya kwanza kwenda anga za juu inayoitwa UoN. Hata hivyo mwaka 1970 Kenya walirusha Satellite yao ya kwanza iliyoitwa Uhuru.
Sisi Tanzania tumekalia kusema eti ukiwa na cherahani mbili basi unakiwanda tayari.
Ni lini na sisi Tanzania tutakuwa na Satellite yetu ya kwanza???
Sisi Tanzania tumekalia kusema eti ukiwa na cherahani mbili basi unakiwanda tayari.
Ni lini na sisi Tanzania tutakuwa na Satellite yetu ya kwanza???