Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Inasikitisha sana kwakweliRais wetu anazindua tawi la benk ...
Remote sensing muhimu kubashiri mfano mavuno hivyo Serikali kutekelaza maamuzi mwafaka mapema(crop production forecasting)Kazi ya hiyo satellite ni ipi !?
sio wamerusha sema wamerushiwa na japan huku uangalizi wote uko chini ya japanLeo Kenya wamefanikiwa kutengeneza na kuirusha Satellite yao ya kwanza kwenda anga za juu inayoitwa UoN. Hata hivyo mwaka 1970 Kenya walirusha Satellite yao ya kwanza iliyoitwa Uhuru.
Sisi Tanzania tumekalia kusema eti ukiwa na cherahani mbili basi unakiwanda tayari.
Ni lini na sisi Tanzania tutakuwa na Satellite yetu ya kwanza???
Swali ni je na sisi Watanzania tutarusha ya kwetu lini hata kama itakuwa chini ya uangalizi wa Wahindi, lini?????sio wamerusha sema wamerushiwa na japan huku uangalizi wote uko chini ya japan
tutarusha tu kwanza tumalize matatizo yote yakijamii wakenya hukimbilia mambo makubwa huku matatizo ya kijamii kwao ni mabaya zaidi ndio maana leo hata ukiangalia below poverty line in kenya is 46% ukitazama unemployment is about 40%Swali ni je na sisi Watanzania tutarusha ya kwetu lini hata kama itakuwa chini ya uangalizi wa Wahindi, lini?????
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona na sisi tumerusha pia akina kibajaji,polepole ndo wanasayansi wetu
Hiyo inanafuu kuliko ya tz kupewa kondom na USA!sio wamerusha sema wamerushiwa na japan huku uangalizi wote uko chini ya japan
usichanganye siasa na maendeleoHiyo inanafuu kuliko ya tz kupewa kondom na USA!
Hiyo satellite imekuwa japanese financed, technology ya japan imetengenezwa nairobi na wajapan na kurusha from Japan space station wacha kujidanganya na kujipa sifa ambazo huna. kenya haina technology ya kutengeneza satelliteLeo Kenya wamefanikiwa kutengeneza na kuirusha Satellite yao ya kwanza kwenda anga za juu inayoitwa UoN. Hata hivyo mwaka 1970 Kenya walirusha Satellite yao ya kwanza iliyoitwa Uhuru.
Sisi Tanzania tumekalia kusema eti ukiwa na cherahani mbili basi unakiwanda tayari.
Ni lini na sisi Tanzania tutakuwa na Satellite yetu ya kwanza???
Siasa iko wapi na maendeleo yako wapi? Labda sijakuelewausichanganye siasa na maendeleo
Kwa ushirikiano na wanasayansi wa Kenya na wanafunzi wa chuo kikuu. Kesho yake itakuwa ni zamu yao.Hiyo satellite imekuwa japanese financed, technology ya japan imetengenezwa nairobi na wajapan na kurusha from Japan space station wacha kujidanganya na kujipa sifa ambazo huna. kenya haina technology ya kutengeneza satellite
It was live in Nation TV jana lunch time news., around 1pm., tafuta, and nobody is talking about it huku. It was announced two weeks ago., not as a major news.Hebu tuone hata video ya urushaji wa satellite hiyo. wakenya hawaaminiki kwa kweli.
Maana ingekuwa hivyo humu wakenya wange jazana kuonehsa nyuzi tofauti tofauti
Kwanini tusiione humu?It was live in Nation TV jana lunch time news., around 1pm., tafuta, and nobody is talking about it huku. It was announced two weeks ago., not as a major news.