Kenya yarusha "Satellite" yake ya kwanza kwenda angani

Siasa iko wapi na maendeleo yako wapi? Labda sijakuelewa
we unaonaje unaposkia nchi inapeleka japan sattelite ya majaribio wakat nchini meake kuna below poverty line 46%, unemployment rate 40%, no security, nchi ina njaa isio na nafuu, etc do u think its fair??? unataka mambo makubwa wakati madogo yamekushinda?? try to be serious
 
tutarusha tu kwanza tumalize matatizo yote yakijamii wakenya hukimbilia mambo makubwa huku matatizo ya kijamii kwao ni mabaya zaidi ndio maana leo hata ukiangalia below poverty line in kenya is 46% ukitazama unemployment is about 40%
Baada ya miaka 50+ ya uhuru leo ndio unatatua matatizo ya kijamii? Una akili timamu?
 

Hivyo mandege mnayonunua wakati Tanzania poverty rate ni 70% hamuoni mnafuata makubwa ilhali nyie maskini wa kutupwa.
 
So much hype about a simple class project, That satellite has a lifespan of only 1 year before it loses momentum and re enters the earth and burns up. What seriuos research can any gvt do with 1 year? Its better you hire already existing satellites and do your reasearch/ communications? A waste of time
 
Hivyo mandege mnayonunua wakati Tanzania poverty rate ni 70% hamuoni mnafuata makubwa ilhali nyie maskini wa kutupwa.
mm hua nakuja na ushahidi sio porojo😀😀
tanzania







kenya





na hapo hatujaingia kwenye unemployment rate unaeza lia machozi ya damu😛😛😛😛
 
mm hua nakuja na ushahidi sio porojo😀😀
tanzania
View attachment 774810






kenya
View attachment 774811




na hapo hatujaingia kwenye unemployment rate unaeza lia machozi ya damu😛😛😛😛

Mimi nakupa taarifa ya benki kuu wacha vitu vya kuokoteza, Tanzanians living below $2 poverty line ni 70%, yaani karibia nchi yote, hao waliosalia 30% ni wale jamii za wanasiasa na wahindi na Waarabu, lakini miswahili inaishi kwa tabu sana

the report emphasizes that approximately 70% of Tanzanians continue to live with less than $2 per day

Tanzania Mainland Poverty Assessment: A New Picture of Growth for Tanzania Emerges

STORY HIGHLIGHTS
  • A new World Bank poverty assessment shows that poverty in mainland Tanzania has declined significantly since 2007
  • Declines in extreme poverty and basic needs poverty, which defines the minimum resources necessary for physical well-being, show that the country’s poorest citizens are benefiting from recent economic growth
  • To continue to reduce poverty and further economic growth, the assessment recommends development of the rural economy, agriculture, and diversification of livelihoods into non-farm businesses
DAR ES SALAAM, May 7, 2015 – In Mainland Tanzania, poverty has declined by approximately one percentage point each year between 2007 and 2012, according to a new World Bank report released today.

Based on the 2012 Household Budget Survey, the Tanzania Mainland Poverty Assessment highlights the country’s first significant decline in poverty in 20 years. Basic needs poverty, which refers to the minimum resources needed for physical wellbeing, declined from 34.4% in 2006, to 28.2% by 2012. During the same time period, extreme poverty also decreased from 11.7% to 9.7%.

“There are emerging signs of increased participation of the poor in the growth process during the last five years,” said Nadia Belhaj Hassine Belghith, World Bank senior economist and lead author of the report. “The government will be able use this information to examine how this happened as they continue to devise policies to further accelerate extreme poverty eradication and promote growth, because in reality around 12 million Tanzanian people still live in poverty, and more than four million citizens continue to be in extreme poverty.”

Although there has been recent growth that has helped Tanzania’s poorest, the report emphasizes that approximately 70% of Tanzanians continue to live with less than $2 per day. To build on this growth and reach more people, the assessment recommends promoting faster economic growth in labor intensive sectors, including agriculture where three-quarters of Tanzanians continue to be employed. Reducing population growth and the country’s high fertility rate – on average, five children per woman – by empowering them through education and employment support and with family planning services can stimulate per capita economic growth further, according to the report.

The assessment also underscores the need for specific measures to develop the rural economy and agriculture, and to diversify livelihoods to include nonfarm businesses, which can be more helpful than agricultural activities to help households reduce poverty. Additional report findings include:

  • In addition to the decline in the share of the population living in poverty, Tanzania is also witnessing a reduction in the level of deprivation among those still living in poverty
  • All households saw large improvements in their housing conditions and modern amenities such as television sets and mobile phones
  • While ownership of agricultural land improved, possession of productive assets such as mechanized equipment and big livestock remains limited
  • Human development outcomes have improved with the increase of primary education enrollment and the decline of infant mortality and children less than five years old. Unfortunately, improvements in maternal mortality have not been as significant
  • According to the Gini coefficient of real per capita consumption, the level of inequality for Tanzania declined from 39 to 36 during the last decade, and is now comparing favorably with Sub-Saharan Africa. This change seems to be driven mainly by an increase of the consumption share for the 20% poorest segment of the population.
  • The number of poor, particularly in rural areas, is still high; about 12 million people, among them 10 million in the rural sector, continue to live in poverty
  • Heads of households with less education and a large number of children and who are engaged in subsistence agriculture and living in communities lacking infrastructure are likely to be the most poor and many of them will pass on their poverty to their offspring
  • The nature and composition of economic growth induced an uneven increase of welfare at the regional level. Household consumption and poverty improved faster in Dar es Salaam and inequality between the geographic regions is widening.
  • While there are emerging signs of increased participation of the poor in economic growth, outside of Dar es Salaam an important proportion of the population remains unable to fully benefit from the economic prosperity of the country and are vulnerable to poverty
 
niletee source za kueleweka weka link hapa ili nikuumbue vzr usilete danganya toto
weka link hio hapa
 
haya maelezo wewe umeyaelewa vzr umeyasoma au umetuma link ???😀😀
2012 its was 28.2% wewe 70 umeitoa wapi????
wakati kenya 2015 muko na 46%
au hasira zimekupanda??????
 
soma hapa ujijue uko wapi???unaleta maneno ya kanga hapa mm ukiteleza na kunyoosha tu😀😀

below poverty line kenya 46%


https://answersafrica.com/poverty-kenya-2.html
 
Kila kitu hutakiwa kiende na sababu za msingi, sio kufanya tu ili kufurahisha genge.
 
Ungekuwa mwenye bidii jinsi unavyotafuta articles kuhusu Kenya, Tz ingekuwa mbali sana na pia ungejikwamua toka kwa muindi alokyajiri kama chauffeur.
ukweli huupendi ryt??😀😀😀
 
haya maelezo wewe umeyaelewa vzr umeyasoma au umetuma link ???😀😀
2012 its was 28.2% wewe 70 umeitoa wapi????
wakati kenya 2015 muko na 46%
au hasira zimekupanda??????
View attachment 774927

Naona unajadili vitu usivyovijua, hizi ni taarifa za Benki Kuu, yaani World bank. Kingereza kinakuchanganya, sijui nikutafsirie vipi. Benki kuu huwa inatumia indicators tofauti kupima umaskini, yaani kuna
- Extreme poverty - yaani kama wale omba omba wenu huja Kenya
- Basic needs poverty
- Below $2 poverty line

Sasa hapo pa below $2 ndio Tanzania mpo 70%, kwa kifupi Watanzania ambao wanaishi chini ya buku nne kwa siku ni 70%

Nafikiri nimekupa darasa la kutosha, kuanzia hapo nenda kafikirie kwanini liinchi lote hilo lenye madini na rotuba na vivutio bora vya utalii na kila kitu lina wanainchi wake 70% wanaoishi chini ya buku nne, kwaheri....
 
hii thread ni ya kenyan satellite launch hawa wabongo wanajaribu ku derail mada. Lets stick to the main agenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…