Kenya yashika namba 3 duniani mimba za utotoni, hongereni Sana majirani

Kenya yashika namba 3 duniani mimba za utotoni, hongereni Sana majirani


MY TAKE; Sasa Kama hata maji ni bidhaa adimu yanapatikana kwa kubadilishana na "sex', au hata chakula ni shida, unategemea wasichana wataishi vipi?
Tony254
Don YF
Nicxie
nairobae

Data kama hizi mnashobokea sana tena hamchelewi. Lakini zile zinazotaja Kenya mbele yenu huwa ni za kupikwa na za makaratasi. Very useless beings

And by the way, we don't interfere with the future of those girls by locking them out of school like some shithole country I know
 
Data kama hizi mnashobokea sana tena hamchelewi. Lakini zile zinazotaja Kenya mbele yenu huwa ni za kupikwa na za makaratasi. Very useless beings

And by the way, we don't interfere with the future of those girls by locking them out of school like some shithole country I know
Hujui kuwa hata huku kwa sasa wanarudi shule na kutimiza ndoto zao?
 
Huyu wakili amelipwa ksh 1.3 billion na serikali ya Nairobi county? Aiseeh hii ni noma. Hio ni around $11 million. Lazima Kuna mambo nyuma ya pazia.


 
Data kama hizi mnashobokea sana tena hamchelewi. Lakini zile zinazotaja Kenya mbele yenu huwa ni za kupikwa na za makaratasi. Very useless beings

And by the way, we don't interfere with the future of those girls by locking them out of school like some shithole country I know
Kwanini katika Mambo ya hovyo na kijinga Kama haya Kenya ndiyo inashika nafasi za juu duniani?
1)Njaa
2)Ukabila
3)Rushwa
4)Crime
5)Political violence
6) Terrorism
7)Mimba za utotoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Huyu wakili amelipwa ksh 1.3 billion na serikali ya Nairobi county? Aiseeh hii ni noma. Hio ni around $11 million. Lazima Kuna mambo nyuma ya pazia.


Man eat man country, how can a responsible government allow this stupidity?, Kwani Kenya hakuna mawakili wa serikali?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini katika Mambo ya hovyo na kijinga Kama haya Kenya ndiyo inashika nafasi za juu duniani?
1)Njaa
2)Ukabila
3)Rushwa
4)Crime
5)Political violence
6) Terrorism
7)Mimba za utotoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Umesahau population living in extreme poverty
 
Poleni sana ndugu zetu wekeni sheria kali kwa hawa watu wanaomendea visichana vidogo
 
Data kama hizi mnashobokea sana tena hamchelewi. Lakini zile zinazotaja Kenya mbele yenu huwa ni za kupikwa na za makaratasi. Very useless beings

And by the way, we don't interfere with the future of those girls by locking them out of school like some shithole country I know
Kwahiyo kumjaza mimba binti wa shule according to you sio interference kwa masomo yake na maisha yake?
 
Kwahiyo kumjaza mimba binti wa shule according to you sio interference kwa masomo yake na maisha yake?
Wale wenu waliopata ujauzito na kuwafungia milango za shule walipata hizo mimba through osmosis?
 
Habari hii imenikumbusha mwanangu Manchokote, alishikwa uko Migori akiwa anakula tunda kimasihara la mwanakwaya nyumbani kwa mchungaji. Manchokote bado yupo maabusu akisubiri upepelezi kukamilika ili apate haki yake.
 
Hatuna ujinga huo wa kudate visichana vya primary school, huku wasichana mtaani ni warembo na wamejaa, ukijulikana una mahusiano ya kimapenzi na under 18, jela miaka 30, hatuna ujinga wenu huo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hatuna ujinga huo wa kudate visichana vya primary school, huku wasichana mtaani ni warembo na wamejaa, ukijulikana una mahusiano ya kimapenzi na under 18, jela miaka 30, hatuna ujinga wenu huo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile aa


MY TAKE; Sasa Kama hata maji ni bidhaa adimu yanapatikana kwa kubadilishana na "sex', au hata chakula ni shida, unategemea wasichana wataishi vipi?
Tony254
Don YF
Nicxie
nairobae

We would also like to see data from the Tanzanian ministry of health we all know how you handled the covid situation
 
Kwanini katika Mambo ya hovyo na kijinga Kama haya Kenya ndiyo inashika nafasi za juu duniani?
1)Njaa
2)Ukabila
3)Rushwa
4)Crime
5)Political violence
6) Terrorism
7)Mimba za utotoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Kwani gdp na katiba mpya vinasemaje!!?
 
Hatuna ujinga huo wa kudate visichana vya primary school, huku wasichana mtaani ni warembo na wamejaa, ukijulikana una mahusiano ya kimapenzi na under 18, jela miaka 30, hatuna ujinga wenu huo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Kuna mmoja humu nilimsikia akisema hao wanafunzi ni nyara za serikali. Ukikutwa imekula kwako.
 
Back
Top Bottom