kwa rushwa iliyokithiri iliyopo kenya, sehemu kubwa ya deni imepigwa na wajanja jombaaaaa
Zambia wapo namba ngapi[emoji23][emoji23]
Si nyi mlikua tayari mnauza bagamoyo iwe overseas port ya mchina kama vile ile bandari ya sri lanka!We wafananishe wachina na taasisi kama WB au IMF, mtaumia muda si mrefu. Kama ilivotokea Zambia na shirika la umeme soon utasikia bandari ya Mombasa imepewa jina jipya "Mon Ban So Oversea port
Proof please!!Si nyi mlikua tayari mnauza bagamoyo iwe overseas port ya mchina kama vile ile bandari ya sri lanka!
Sisi tuko na foreign reserve ya $9B hata wakaja leo hao wachina na wadai pesa zao zote, nchi haitaanguka kwasababu yao
I have made two claims hapo, which one do you need proof ? The one about Bagamoyo or the one on foreign reserves?Proof please!!
Both. Start with foreign reserves.I have made two claims hapo, which one do you need proof ? The one about Bagamoyo or the one on foreign reserves?
😂😂 nyie mchina alikua si anataka kushika port yenu ya mombasa, mnakopa ela zinaishia on the pocket of ur leadersFacts do not penetrate their heads. We borrow and pay, they borrow and come crying afterwards to be forgiven their debts.
Jana baada ya kusikia Uganda wamepewe dola milion 500 kupambana na corona, Kenya ikatangaza visa vipya 300 kwa wakati mmoja. Wameona Uganda inataka kuwapikuHawa jamaa wako busy kukopa kujenga expressways wapigwe pesa na mchina kwenye tolls wakati sisi tunajenga infrastructure kuaccomodate Public Transport for all. Sijui wanafikiria nini?
Umejiuliza kwnn yamemkuta yeye na wengine juu yake wanadunda kitaani?No.6
Baadae na tayari wanapumilia mashine, ushajiuliza kwann ni yeye kachemsha wwngine wanaendelea na maisha yao ya kawaidaKenya Kwanza shost huko Zambia baadaye
Kenya inashikilia namba ya tatu miongoni mwa nchi zenye madeni makubwa zinazodaiwa na china inakadiliwa kenya inadaiwa kama $7.9 bilion ela ambazo serikali ya kenya ilizikopa ili kusaidia miradi mbalimbali ya kiuchumi nchini kenya, hata hivyo kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wa kenya wakiwatuhumu viongozi wao kwa matumizi mabaya ya fedha hizo za mkopo ambazo zinalipwa kupitia kodi za wananchi.
Katika orodha hii nchi za east africa nimeiona kenya huku akipewa back up na mbabe wake Ethiopia
Mwisho napenda kuwapongeza watani zetu kenya kwa kushika namba tatu katika orodha hii kwani mmetugalagaza sisi tz kwani atuonekani kabisa katika top ten
The Top Ten African Countries With the Largest Chinese Debt | The African Exponent.
Vipi thread za korona mbona huleti siku hizi au malipo yamekatwa?Mkuu unajua kuwa deni hasa likiwa kubwa ni dalili ya kuaminika? Je unajua ya kuwa "the opposite is also true?"
Hiyo ndiyo hesabu na namba huwa hazidanganyi.
Sio wanaendelea na maisha ya kawaida ndio wanakoenda kuwa kama waoBaadae na tayari wanapumilia mashine, ushajiuliza kwann ni yeye kachemsha wwngine wanaendelea na maisha yao ya kawaida
Ndio mana sisi rais wetu akishtuka!Si nyi mlikua tayari mnauza bagamoyo iwe overseas port ya mchina kama vile ile bandari ya sri lanka!
Sisi tuko na foreign reserve ya $9B hata wakaja leo hao wachina na wadai pesa zao zote, nchi haitaanguka kwasababu yao
Mwenzako akinyolewa__________.Umejiuliza kwnn yamemkuta yeye na wengine juu yake wanadunda kitaani?
Bwahahaaa!!kajiingiza katika sekta ambayo haiendani na uhalisia wake..kenya ukitoa deni la mchina inadaiwa $50bn..kwhyo hzo ni hela ndogo sanaMwenzako akinyolewa__________.