Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
MK254 hebu weka neno...kwa kuipigania nchi yako huwa ninakuaminia sana!Ubunge iwe ni nafasi ya mtu mwenye uchungu na dhamira ya kweli ya kuwatumikia wananchi na usiwe kigezo cha mtu kwenda kujichumia mali .
View attachment 2224118
UBUNGE ULIPASWA UWE NI KWA WAZALENDO UTASHI MORALE YA NDANI YA MOYO NA SI SEHEMU YA WATU KUKIMBILIA MPAKA KUTOANA ROHO UZALENDO NDIYO UWE UNAMTUMA MTU BUNGENI NA SI KIMBILIO MPAKA LA WAHUNI.Wamechukua mawazo ya Zitto Kabwe