YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Tanzania inakisiwa kuwa na makabila 120 tuongeze kabila la 121 la wahindi na tutangaze rasmi .Kenya inawatambua wahindi kama kabila la 44 la makabila ya kenya.Hapa ndipo walitambuliwa rasmi kama kabila la 44 la kenya.Ukitaja makabila ya kenya ya wakikuyu,wajaluo nk ussaihau kabila la wahindi