MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Dah ila Rwanda wale watu wanajituma, wana rais asiye mzembe, bado wanaongoza kwenye hili, ndio tatizo haupewi vyote aidha upewe ubongo na kunyimwa raslimali au upewe raslimali unyimwe ubongo.
Hata hivyo Kenya inazidi kuchana mbuga tena kwa kasi ya ajabu, majirani zetu wengine tumewapiga double double, majirani mnatuchelewesha sana kwa mlivyo wazembe sijui mfanywe nini muamke, maana binadamu akizungukwa na wazembe hata yeye hujikuta akizembea maana lazima awaburuze au wamburuze.
Rwanda 76.5
Kenya 73.2
Uganda 60
Tanzania 54
Burundi 46.8
Sudan Kusini 34.6
https://www.doingbusiness.org/content/dam/doingBusiness/media/Profiles/Regional/DB2020/SSA.pdf
Hata hivyo Kenya inazidi kuchana mbuga tena kwa kasi ya ajabu, majirani zetu wengine tumewapiga double double, majirani mnatuchelewesha sana kwa mlivyo wazembe sijui mfanywe nini muamke, maana binadamu akizungukwa na wazembe hata yeye hujikuta akizembea maana lazima awaburuze au wamburuze.
Rwanda 76.5
Kenya 73.2
Uganda 60
Tanzania 54
Burundi 46.8
Sudan Kusini 34.6
https://www.doingbusiness.org/content/dam/doingBusiness/media/Profiles/Regional/DB2020/SSA.pdf