Kenya yazuia uuzwaji wa Ng'ombe kutoka Tanzania kutokana na maambukizi ya CoronaVirus kuwa mengi nchini Tanzania

Kenya yazuia uuzwaji wa Ng'ombe kutoka Tanzania kutokana na maambukizi ya CoronaVirus kuwa mengi nchini Tanzania

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
unnamed (18)

Gavana wa Kajiado Joseph Lenku amefunga kabisa uuzaji wa Ng’o,mbe katika kaunti hiyo kutoka Tanzania kutokana na visa vya maambukizi mengi zaidi yanayoripotiwa nchini humo.

Lenku ametoa amri hiyo baada ya kufanya ziara eneo la Loitoktok ambapo alikuwa anasambaza barakoa kwa wenyeji .

No Tanzanian cattle will be allowed in Kajiado livestock markets in Namanga, Loitokitok, and Shompole border points. We have completely locked the border,” alisema Lenku.

Wakaazi wa kaunti hiyo aidha walikuwa wamemkashifu Lenku kwa kutozuiya uuzaji wa Ng’ombe eneo hilo kutoka Tanzania kwa hofu ya kuambukizwa Corona.

d273f48d90ff6ddfcdbce95908bc3efa-1
Soko kuu la Bissili linaloshirikisha Athi River na mpaka wa Namanga lilikuwa lingali linakubali wauzaji wa ng’ombe kutoka Tanzania kabla ya kufungwa.

Kisa cha kwanza cha virusi hivyo kaunti ya Kajiado kiliripotiwa Machi 6 na wakaazi wa eneo hilo walityarajia kuwa huenda gavana huyo angefunga kabisa mipaka kati ya Kajiado na Tanzania.

Wiki jana hatua ya maambukizi kuongezeka katika taifa jirani la Tanzania ilitia hofu kwa idadi kubwa ya wakenya haswa wanaoishi karibu na mipaka ya mataifa haya mawili kama vikle Loitoktok,Namanga ,Shompole na karibu na ziwa Natron.
 
miss zomboko,

Wiki jana hatua ya maambukizi kuongezeka katika taifa jirani la tanzania ilitia hofu kwa idadi kubwa ya wakenya haswa wanaoishi karibu na mipaka.
 
miss zomboko,

Wiki jana hatua ya maambukizi kuongezeka katika taifa jirani la tanzania ilitia hofu kwa idadi kubwa ya wakenya haswa wanaoishi karibu na mipaka.
kaunti ya Migori iliyoko boda ya Kenya na Tanzania, tayari imeripoti visa viwili vya corona, na wote walitoka chini Tanzania
 
unnamed (18)

Gavana wa Kajiado Joseph Lenku amefunga kabisa uuzaji wa Ng’o,mbe katika kaunti hiyo kutoka Tanzania kutokana na visa vya maambukizi mengi zaidi yanayoripotiwa nchini humo.

Lenku ametoa amri hiyo baada ya kufanya ziara eneo la Loitoktok ambapo alikuwa anasambaza barakoa kwa wenyeji .

No Tanzanian cattle will be allowed in Kajiado livestock markets in Namanga, Loitokitok, and Shompole border points. We have completely locked the border,” alisema Lenku.

Wakaazi wa kaunti hiyo aidha walikuwa wamemkashifu Lenku kwa kutozuiya uuzaji wa Ng’ombe eneo hilo kutoka Tanzania kwa hofu ya kuambukizwa Corona.

d273f48d90ff6ddfcdbce95908bc3efa-1
Soko kuu la Bissili linaloshirikisha Athi River na mpaka wa Namanga lilikuwa lingali linakubali wauzaji wa ng’ombe kutoka Tanzania kabla ya kufungwa.

Kisa cha kwanza cha virusi hivyo kaunti ya Kajiado kiliripotiwa Machi 6 na wakaazi wa eneo hilo walityarajia kuwa huenda gavana huyo angefunga kabisa mipaka kati ya Kajiado na Tanzania.

Wiki jana hatua ya maambukizi kuongezeka katika taifa jirani la Tanzania ilitia hofu kwa idadi kubwa ya wakenya haswa wanaoishi karibu na mipaka ya mataifa haya mawili kama vikle Loitoktok,Namanga ,Shompole na karibu na ziwa Natron.
Genious Kenyans. Yaani huku Coronavirus imetapakaa hadi mifugo yetu inaambukizwa.
 
Soko kuu la Bissili linaloshirikisha Athi River na mpaka wa Namanga lilikuwa lingali linakubali wauzaji wa ng’ombe kutoka Tanzania kabla ya kufungwa.
OH, OK, KWA HIYO TATIZO SIO NG'OMBE KUTOKA TZ BALI TATIZO NI WAUZAJI WA NG'OMBE WANAOTOKA TZ. SAWA HAPO NIMEELEWA.
 
Kenya huwa tunatumia mifugo kwa shuguli za kibinafsi kwa hivyo hatuwezi taka maambukizi ya corona wakati wa mechi 😁😁
 
kaunti ya Migori iliyoko boda ya Kenya na Tanzania, tayari imeripoti visa viwili vya corona, na wote walitoka chini Tanzania
mbona sisi makuyuni moshi alikutwa mwanamke mmoja kutoka kenya akiwa ametelekezwa na habari zikisema eti ametoroka calantine
 
Ohooo, Jirani zetu wakenya wameanza kutuwekea vikwazo. This is a mess
Nina uhakika hilo jambo mhe Kenyatta atalipinga; wana siasa wa chini huaga wanadhani Kenya can survive without Tanzania, never, Uhuru anajua hilo na senior officials wengien pia wanalijua hilo, hawa magavana, wabunge hawana wanacho kijua, kwa ufupi, sio Kenya, Uganda, Rwanda or Burundi vinavyoweza kuisogeza GDP yao bila Tanzania, hakuna. Tanzania ndio baba wa EA, kubali ukatae, ndio ukweli. Kenya inahitaji sana soko Tanzania kwasababu ya uwingi wetu, Kenya inahitaji sana chakula kutoka Tanzania; anaebisha kwasasa aende baadhi ya maeneo ya kanda ya ziwa, Waganda wapo huko wakichukua mchele
 
Ngoja tuchome vifaranga tena, labda akili ya hawa nyau itakaa sawa. Then sabuni zote za 'jamaa' tuzipige ban, halafu list tutaendelea kuiupdate tuone nani ataongoza ligi..
 
Bongo mpaka mapaipai na mananasi yameambukizwa, bakini huko kwenu hivyo hivyo, msituletee hilo balaa lenu...
Nimeona kwenye mitandao kuna baadhi ya Wabongo wameanza kukata mipaipai na kuharibu miti yote wanayoshuku ina Corona.
 
Back
Top Bottom