ulinicomfort sana nilipoibiwa chupi zangu na wakenya
LOL mwanzoni nilikuwa naandika makala zinagonga 20000 views in 3 days halafu naingia the East African nakuta mtu kanijibu...[emoji23]wana ku-admire sana japo kwa siri.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
ahahaaaHehehe!! Japo hukuniambia zilikua za rangi gani na muundo (G-string, thongs, hipsters, C-String, Tanga, grandma pants) ili nianze kuzisaka huku Kenya.
acha kujifagilia wewe hebu weka ushahidiLOL mwanzoni nilikuwa naandika makala zinagonga 20000 views in 3 days halafu naingia the East African nakuta mtu kanijibu...[emoji23]
Umeambiwa tupo tangu 2011 sasa unajua mara ngapi JF wamezifuta posts katika ku-update webpage yao?acha kujifagilia wewe hebu weka ushahidi
nakumbuka hiyo kitu.ulikuwa unaleta link hapa.LOL mwanzoni nilikuwa naandika makala zinagonga 20000 views in 3 days halafu naingia the East African nakuta mtu kanijibu...[emoji23]
Ati what,who does that ama zilipelekewa wachawi?ulinicomfort sana nilipoibiwa chupi zangu na wakenya
Unakumbuka kuna mtu aliandika opinion the East African just kuni-address mimi alikuwa anadai ninaidharaulisha Kenya...LOL ikabidi nibadili all my accounts fasta nikatengeneza mpaka email maalum kuitumia humu. Weeks later naona watu wamenyakua picha zangu za fb wasijue account fake. Nimewaangaisha hawa watu...nimewahi kupata mialiko mingi ati ya bia na kutongozwa na wadada wa Kikenya just kutaka kunijua mi ni nani.nakumbuka hiyo kitu.ulikuwa unaleta link hapa.
kuna wakati niliingia kwenye baadhi ya blogs na forums za kenya,nikakuta unajadiliwa.
nikaenda nairaland,nikakuta wakenya wanakujadili,nikaingia skyscrapercity nikakuta wakenya wanakujadali.
wewe sio mtu wa mchezo mchezo mkuu.hongera.
baraza la kiswahili tanzania (bakita) juzi kati waliibuka na kudai kuwa mchanga wenye madini hauitwi "makinikia" bali huitwa "MASHOBO".[emoji23] [emoji23]Mimi navutiwa sana na wachangiaji wakenya, wanatoa michango yenye akili sana kutuzidi sisi watanzania kwa mbali sana, sisi tujikite kwenye makinikia
Kijana kuna historia humu huwezi ijua kwa kuingia kichwa kichwa..MK254 anawafunika wengi sana.
Anaandika kwa lugha nzuri na yenye staha.
duh!!...sikujua kama ulikumbana na madhira hayo.pole sana bro...hope all is well now.Unakumbuka kuna mtu aliandika opinion the East African just kuni-address mimi alikuwa anadai ninaidharaulisha Kenya...LOL ikabidi nibadili all my accounts fasta nikatengeneza mpaka email maalum kuitumia. Weeks later naona watu wamenyakua picha zangu za fb wasijue fake. Nimewaangaisha hawa watu...
Halafu picha walizoweka zikawa za Lissu na Makinda waki-dance. Nikawajibu nami nikaanza kum-post MK254 na familia yake, wacha walalamike .duh!!...sikujua kama ulikumbana na madhira hayo.pole sana bro...hope all is well now.
Those were the days mtu ulikuwa unabisha mpaka unakula ban...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ahahaaaa kumbe mmetoka mbaliHalafu picha walizoweka zikawa za Lissu na Makinda waki-dance. Nikawajibu nami nikaanza kum-post MK254 na familia yake, wacha walalamike .
hakuwa na chupi huyo mkenya.pia kenya wezi wanaiba kila kitu ni hobby yaoAti what,who does that ama zilipelekewa wachawi?
U cant generalise people,mkona wezi pia Tanzania,if all Kenyans are thieves utakubali kuitwa mla albino?hakuwa na chupi huyo mkenya.pia kenya wezi wanaiba kila kitu ni hobby yao
Ungekuwepo kipindi hicho na sasa ungeona kwa jinsi gani tulivyofanikiwa kutuliza ego za Wakenya humu ndani! Kuna kipindi anakuja mtu na arrogance yake ya kujikweza natumia masaa kusaka ukweli na kuueleza humu ndani. Cha ajabu unakuta una-post clips za Nationmedia ama Standardmedia toka their youtube accounts the next day unakuta wametoa kisa kuna journalists wao wamo humu ndani na matumizi yake humu yanawadharaulisha.ahahaaaa kumbe mmetoka mbali
Hahahaha.... kenyaforum ilikuwa katika ubora wake.Those were the days mtu ulikuwa unabisha mpaka unakula ban...