LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
Kimweri alipotelea wapi? he was articulate, systematic when responding, and factual. am starting to like some two blind patriots., hata kama mara nyingi am not in agreement with them, just like their debating prowes; Ichoboy na Annael, hawawezi kubali kushindwa, lazima walazimishe Tanzania ionakane juu ya Kenya hata kama si ukweli, they are my guys.
Na sijatajwa
Lol! He's taking no nonsense from those people.Hahah NairobiWalker haachi asili..boxing out at Nairaland chaaa.
Thanks. I am definately going to.check this out.Iconoclastes, on your doubts about religion we can chit chat., check my blog; www.festoyosef.wordpress.com am sory, this is a deviate from the thread., apologies.
Nadhani kozi hyo ID ya pissedyagami naira inatumika na mkenyalightyagami ni same na yule wa nairaland pissedyagami?
KaribuWow. Nilikuwa mbali na JF. Kumbe kuna thread nzuri hivi.
Kote huko anatumia ID hiyo hiyo?nakumbuka hiyo kitu.ulikuwa unaleta link hapa.
kuna wakati niliingia kwenye baadhi ya blogs na forums za kenya,nikakuta unajadiliwa.
nikaenda nairaland,nikakuta wakenya wanakujadili,nikaingia skyscrapercity nikakuta wakenya wanakujadali.
wewe sio mtu wa mchezo mchezo mkuu.hongera.
Ukiona mkenya wa jf anakupenda ujue ku na tatizoIna maana hamna Mkenya ananipenda humu? [emoji23] Ati kadoda11 ni haki kweli? Ila nina uhakika ni secrets admirers the way my posts hit 1000 views in a day n in Kenyan forums means something. Mimi nawapenda nyote na nawasihi msipigane August.
Ukiona mkenya wa jf anakupenda ujue ku na tatizo
unakumbuka sababu ya kubadili ID? AROO uzalendo ulinishinda nikaishia kula ban!Toyota escudo kwa kujazia tu,lawmaina ndio @MK254.alibadili ID