Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Mheshimiwa Rais, kinachopita mbele yako ni kikosi cha Askari wa Mtandao wa Kijamii ambao wamegadhabishwa na uongozi wako duni. Lengo lao mheshimiwa Rais ni kutekeleza mashambulizi kali kama utaendelea kugandamiza haki za wakenya.