Kenyan election 2017 was more vibrant,viewed and talked about world wide than Tanzanian 2015 elections.

Nyota wa uchaguzi wa TZ 2015 alikuwa ni Jecha.
 
Unajua ni Aibu sana Kuifananisha Tanzania Taifa huru na Watumwa Kenya , Kwa kweli huwa sio mchangiaji sana lakini leo inanibidi nichangie kidogo kwa jinsi wakenya wachangiaji humu wanvyojua kupotosha.

1. Kenya baada ya uhuru tu Kenyata kwa udhaifu wake mno, uoga, njaa na baada ya kuminywa sana gerezani alikubali awakumbatie mabeberu na kuwa NYANG"AU alifanikiwa kuwalamba wanaume wenzake miguu wakachukua ardhi kubwa sana na wakawekeza sana kenya kwa masharti nafuu mno kwa kwa kujipangia watakavyo. ( UKOLONI MAMBO LEO)
.2 . Pili media nyingi kuweza base station zao kenya ni kwa sababu ya kufadhiliwa na mabeberu waliowekeza mitaji yao mikubwa hapo kwa hiyo lazima wailinde kijeshi kipropaganda na kisiasa pia kwa kupandikiza puppets wao kuongoza maisha yote , Kwa hiyo sio Kenya ni big fish hapana lazima wamtangaze sana mlinzi wa maslahi yao

3 Tatu wanawajua sana wakenya ni vibaraka kwa asili kwa sababu ya ukabila na malezi wa kuwa watumwa wa muda mrefu hivyo wanauhakika sana wa kuwatawala kisasa kwa muda mrefu sana kuliko nchi nyingine yeyote EA . ndo maana hata ukimuajiri mkenya lazima akuite boss bsoss bosss bosss mara nyingi sana kwa siku hata kama ni professional kwa sababu kujikomba na kutawaliwa kwao ni sehemu ya maisha.
4 Nimekaa sana na wakenya ninawafahamu sana sana Nimezaa na vibinti vitatu tofauti vya kikenya nimewaajiri sana , Kitabia nchi ya Ethiopia , Erithrea , Rwanda, Kenya , DRC na Angola nimetumia muda mwingi sana maishani kwangu kuliko Tanzania yangu 32 yrs ,8 in Kenya

Ntakuja tena baadae na facts nyingi sana za ufukara wa kutia huruma wa wakenya wengi na ilivyongumu kufanikiwa huko
 
Hauna summary???

sent from iPhone 7
 
Hahaha ati nusu ya ardhi ya Kenya ni Mali ya English monarchy. Ardhi yote ni mali ya government of Kenya. Bangi si mboga tafadhali wachana nayo.
 
Hahaha ati nusu ya ardhi ya Kenya ni Mali ya English monarchy. Ardhi yote ni mali ya government of Kenya. Bangi si mboga tafadhali wachana nayo.
 
International coverage is curious to cover your political saga, ethnic differences, disputed election results and their impact. Kenyans dont support them, stand still to showcase your patriotism, oneness, love and nationalism.
 
Somehow Kenya's general elections era is a potential highway and threats towards national GENOCIDE that is why it attracts worldwide attention.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ethiopia haijawahi kuwa colony la hao wazungu na mpaka sasa Ethiopia ni tofauti kabisa na Kenya ambayo ni Neo-colony yao kupitia uwekezaji mkubwa wa kiuchumi wa Mabwanyenye wa kizungu karibu ktk kila nyanja ya uchumi wa Kenya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

And what do we do with this brilliant piece of information? Si kwa ubaya lakini..
 
Ujinga wa mwisho huu.Sasa upotovu (ama "werevu") huu ndio umefanya muwe na HDI ya chini,life expectancy ya chini na mengineo? Sema tu ulitaka ku-massage your ego ndio unatafuta maneno ya yale yatafanya ujisikie "better than thou" .Those are not facts:they're skewed opinions.
 
Nop the fact is Kenya inatangazwa sana na westerners kwa sababu wana maslahi makubwa kwenu kuliko TZ, pili siukubali kabisa uchumi mkubwa kushikwa na mabepari wachache halafu wananchi wengi kuwa watumwa ndani ya nchi yao kama ilivyo kenya . TZ ilianza pia recently hali hiyo lakini sasahivi anagalau sasahivi tunarudi knye uhalisia wa fursa kwa wote
 
Watu walikuwa wanataka kuona kama na mwaka huu pia mtachinjana tena kama ilivyokawaida yenu katika kila uchaguzi. Safari hii walitaka wakusanye ushahidi wa kutosha ili safari ya kwenda The Hague isiwe ngumu ki hivyoo. Sasa waje Tanzania kuangalia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…