Hahahaha yaani mnashindanisha hata vitu vya kipuuzi ati Golf ???? by the way hawakwenda nafikiri sababu hawakuwa interested
Hahahaha yaani mnashindanisha hata vitu vya kipuuzi ati Golf ???? by the way hawakwenda nafikiri sababu hawakuwa interested
Kama nyinyi hamkimbii, hamchezi kandanda, hamogelei, Mnafanya nini na maisha yenu
Kama nyinyi hamkimbii, hamchezi kandanda, hamogelei, Mnafanya nini na maisha yenu
Taifa stars ime Qualifie afcon, simba imetinga robo final ligi ya Mabingwa Africa, mwakinyo mmemuona Apo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama nyinyi hamkimbii, hamchezi kandanda, hamogelei, Mnafanya nini na maisha yenu
iv umesoma na kuelewa comment yangu ?Sizitaki mbichi.....kila mkishindwa na jambo.
Taifa stars ime Qualifie afcon, simba imetinga robo final ligi ya Mabingwa Africa, mwakinyo mmemuona Apo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sie hatuna misifa km nyinyi
Sent using Jamii Forums mobile app
iv ww unasemea nn kuhusu kandanda hapa EAC ni klabu kimoja tu kinachoshiriki CAF champions league quater final and that is SIMBA SC (Tanzania) kuhusu kukimbia nakua juzi pale sweden Uganda wali shine Tz tulitoka kapa lkn ktk 10 bora za wakimbiaji tulikuwepo Golf is nothing to US
hebu nikucheke wewe...Hivi sasa unafurahishwa na kuwa mlikuwa na mkimbiaji katika kumi bora......Inaonyeshana mambo yanayowafurahisha nyinyi ni mambo duni sana...Sisi Wakenya tumeshinda dhahabu tangu miaka ya sitini na bado tuna wanariadha wa hali ya juu mpaka wa leo….Kenya Sevens ni bora Africa, Kenya Women Volleyball bora Africa, Athletics hata tusiongee….Golf hata hamjui inachezwa vipi....
Hahahaha yaani mnashindanisha hata vitu vya kipuuzi ati Golf ???? by the way hawakwenda nafikiri sababu hawakuwa interested
Angalia comment yako hapo juu….Kusema tunashindana na vitu vya kipuuzi ndo kutukosea heshima Zaidi...........ktk riadha tunakuwakubali PIA na tunawaheshimu na kuwapenda ila don't disrespect us
yap nilimaanisha MABISHANO ya kushindanisha nchi moja na nyingine ktk mchezo wa golf .....mchezo ambao ata haupendwi na asilimia 50 ya waTZAngalia comment yako hapo juu….Kusema tunashindana na vitu vya kipuuzi ndo kutukosea heshima Zaidi...........