Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
kwa kuwasaidia tu na kuokoa data zenu ,kwenye hiyo compilation hamna hata ndege moja kutoka Kenya iliyofanikiwa kupaa hata mita moja hewani, angalau Nigeria kidogo. Hao engineers wa Kenya wameshindwa kuelewa basics za Aerodynamics. Kitu kingine ndege inatengenezwa na chuma cha pua halafu unatumia engine ya Toyo. Umeishaona wapi umbo la ndege kwa mbele inakaa kama treni
maajabu ya ndugu zetu haya
Hao engineers wa Kenya wameshindwa kuelewa basics za Aerodynamics.
π€£π€£π€£π€£ ukiangalia video lazima ucheke sanaaaa....kwa kuwasaidia tu na kuokoa data zenu ,kwenye hiyo compilation hamna hata ndege moja kutoka Kenya iliyofanikiwa kupaa hata mita moja hewani, angalau Nigeria kidogo. Hao engineers wa Kenya wameshindwa kuelewa basics za Aerodynamics. Kitu kingine ndege inatengenezwa na chuma cha pua halafu unatumia engine ya Toyo. Umeishaona wapi umbo la ndege kwa mbele inakaa kama treni
Povu mpaka unatema uharoWatu wa SGR mtaro na station zizi la ng'ombe hamchelewi? SGR sasa imefikia 25%? afu Mumbai tunafika lini kwa lile dreamliner 2nd Hand? bagamoyo?Steiglers choo? Hoima taka taka pipeline? Kibaka mini highway? korosho? viwanda?....bure kabisa Tanzagiza nyinyi na huo umeme wenu wa 1350mw kugawana watu millioni 60.
Those are village plumbers and welders, not engineers.
Meanwhile engeneers wanajenga maghorofa ya kuanguka[emoji23][emoji23][emoji23]