Kenyan marries fellow man in USA

Naomba kujua sasa wanaume "wanapooana" ina maana wanafanyana sodomy , if so who does the thing or they do it in turn! I fail to imagine that au wanakaa tu hivi hivi
 
Ni heri uamini kwamba Mungu yupo kisha ukaenda huko ukamkosa, kuliko uamini kwamba Mungu hayupo halafu ukaenda huko ukamkuta.. Sijui utamuambia nini akuelewe..!
Sosoliso, sidhani Mungu anapendelea watu wasiohoji mambo! Ukihoji ukaona kuwa ewepo wa Mungu ni wa mashaka kweli Mungu atakupunish kwa hilo ambalo una sababu za msingi kuamini kuwa hayupo? Nijibu soso, Mungu anendekeza kutofikiri kuchambua mambo
 
Wote ni waume...They are both husbands...
 
If so, where are their wives?
This is a husband-husband union....no wives....ujue hii ndoa just by inspection sio ya kawaida sasa sijui kwanini watu wanastruggle sana kuifananisha na ndoa za kidini....
 
Sosoliso, sidhani Mungu anapendelea watu wasiohoji mambo! Ukihoji ukaona kuwa ewepo wa Mungu ni wa mashaka kweli Mungu atakupunish kwa hilo ambalo una sababu za msingi kuamini kuwa hayupo? Nijibu soso, Mungu anendekeza kutofikiri kuchambua mambo

Mkuu imani huwa inatufunga na tunachokiamini.. Utakapoanza ku-question maana yake kuna vitu ambavyo umeviona na vinakutatiza, mwanzo wa imani kutetereka.. Kama unapata somo kuhusu shaka ulionayo na kuelewa maana yake, imani yako itakuwa na nguvu zaidi.. Lakini ikitokea kwamba ndo umezidi kuona mawenge basi unaweza kwenda mbali zaid na kuikana ile imani.. Kitakachotokea hapo ni either kuhamia kwa imani nyingine au kubaki bila imani..

Nikirudi kwenye swali lako, kama huko kufikiri na kuchambua kwako kwa haya mambo ya imani, kumepelekea mhusika kuja na conclusion ya kwamba hakuna Mungu, hapo itakuwa kukataa kile ambacho kwa mujibu wa imani yetu, Mungu ametuagiza tufanye..

Tumepewa akili ya kutambua mema na mabaya, ya heri na ya shari huku tukiwa tunajua raha ya kutenda mema na adhabu ya kutenda mabaya..
 
This is a husband-husband union....no wives....ujue hii ndoa just by inspection sio ya kawaida sasa sijui kwanini watu wanastruggle sana kuifananisha na ndoa za kidini....
anaeliwa 0713 sio mume hata siku moja,ana jina jingine!
 
Mimi husema kila siku hawa wakenya sijui wamerogwa na nani. Yaani dume lina olewa!!!. Ni kutaka kuwa na sifa za kijinga. Eti kisa upate bra bra bra kutoka kwa mzungu. Ni aibu hata mbwa hawezi fanya mambo hayo.

Yaaani wakenya mnazidiwa tabia na wanyama!!!? Mkenya akili zake finyu sana siwezi hata fananisha na kuku maana kuku ni wastaarabu wajua huyu kuku dume huyu kuku jike.
 
Nadhani kutenda mema na mabaya unatumia intuition. Usichopenda kutendewa usimtendee mwenzio. Hilo halina shaka Nafsi zinajua sana baya na jema, hivyo ukitenda mabaya kama Mungu yupo huna pa kutokea. Kuna mahali Mungu alisema /ametuagiza tusifikir kuhusu uwepo wake? ( Kwamba msithubutu kufikiri/kuhoji uwepo wangu)
 
Museveni alikwisha kusema
Anus is not engineered for sex
Huyu mkenya makalio yake nyepenyepe
Yaani sehemu ya haja yake kubwa ndipo mumewe humnini.
 

CHUAKACHARA Lucifer alijaribu kufikiri.. fikira ikampa ujeuri na kwenda mbali zaidi kiasi cha kutaka kufanya mapinduzi.. Kilichomkuta wote tunakijua.. Tumeletwa duniani ili tuishi maisha ya kumpendeza yeye alietuleta..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…