albuluushiy
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 1,404
- 686
Govi ni wewe!Unajifanya pimbi wakati unajua unachokisema ni uongo mtupu?Kama hujui wakenya baki kimya tu!Wakenya wanapenda utamaduni wao kuzidia,saa zingine hilo jambo linakua ni shiiida.Uliza wenzako kwanini wakenya wengi wamekataa kumpigia jamaa flani rafiki ya JPM kura miaka hiyo yote!Pia uliza wenzako kwanini mwezi wa agosti kila mwaka,kinachoendelea huko magharibi mwa Kenya,kinawafanya jamaa flani kuingia mafichoni?Huyu katoa picha halisi ya wakenya
Wanaume wa kikenya ndivyo walivyo..hasa Mombasa
Pia wengi hawatairiwi.
Ni magovi
Huyo Lucifer mwenyewe una uhakika kuwa yupo?CHUAKACHARA Lucifer alijaribu kufikiri.. fikira ikampa ujeuri na kwenda mbali zaidi kiasi cha kutaka kufanya mapinduzi.. Kilichomkuta wote tunakijua.. Tumeletwa duniani ili tuishi maisha ya kumpendeza yeye alietuleta..
Is it a coincidence kwamba the known prerequisite conditions to sustain life are only found on earth bro???Huyo Lucifer mwenyewe una uhakika kuwa yupo?
Vitabu vya dini - Quran, Biblia, Bhagavad Gita... zote - ni hadithi za Kaka Sungura zilizopata bahati ya kuaminiwa sana na kwa muda mrefu hadi zikatiwa kwenye maandishi.
East Africa tungekuwa colonised na Mchina, si sasa hivi tungekuwa tunamwabudu Buddha?
Tumia akili, baba.
Is it a coincidence kwamba the known prerequisite conditions to sustain life are only found on earth bro???
Soma vizuri. Mkenya ndo mume, profesa mke. Makubwa!
View attachment 350145
In a trend where Kenyan men are getting married to other men in countries whose laws allow it, a Nakuru man has tied the knot to his American mathematics professor.
Mr Ben Gitau, 33, and Mr Steve Damelin got married at Ann Arbor, Michigan in the US on Saturday afternoon.
Soon after the event, the two were seen at the Square’s gardens kissing and fondling in public as friends and family members cheered.
However, a respected marriage and family counsellor in Kenya immediately criticised the wedding.
Pastor Philip Kitoto, of the International Christian Centre, Nairobi, said: "Culturally and biblically, marriage and sexual relations between people of the same sex is a sin."
“The Bible is clear that God created us in his image; He created us male and female. Therefore, in the Book of Leviticus 18:22 He warns men: ‘Do not have sex relations with a man as one does with a woman’. God calls this an abomination.”
Mr Kararu Ririe, a close friend of the couple and a confessed gay Kenyan residing in California, tweeted shortly after attending the wedding: “This afternoon I had a chance to congratulate my friend, Ben and his husband, Steve on occasion of their marriage. It is a rare thing to see a Kenyan man so courageous! Congratulations.”
Mr Gitau lived in Atlanta, Georgia, before moving to California.
Pst Kitoto added in his reaction: “For the man and a woman, sex was not only meant for pleasure but also for procreation.
"That is why, in Romans 1:27-32, the Bible tells us that as mankind walked in disobedience to the commands of God, this led to a depraved mind where men lusted after other men and women after their own kind. They not only burned with passion for each other but they also recommended the same practice for others."
"What we need to understand is that God, in his love for us, still loves the sinner. However, he hates sin. I believe when we turn to him in repentance, he will welcome us back.”
Same-sex marriage was legalised in Michigan last June in a landmark US Supreme Court ruling, which struck down states’ bans on gay or lesbian marriages between two people “as long as they love each other”.
According to a family member who spoke to the Daily Nation on condition of anonymity, Mr Gitau met his ‘fiancé’” in Atlanta, where the latter was a PhD student at the Georgia Institute of Technology.
Soon after taking the vows, Mr Gitau posted the following multiple hashtags — some of which are very popular within the gay community in the US — on his Twitter handle and Facebook page: #HappilyMarried #NewlyWed #GayCouple #GayHusbands #2Hubbies #Blessed #JewishHubby #ChristianHubby #Hubby1 #Hubby2 #4Ever1 #InGodsMath #GetItRight #NoWife #ThankYou!”
Mr Damelin is a well-known American scholar and professor of Mathematics.
Source: Daily Nation
Uko vizuri mkuu.. kweli we are not the centre of the universe... Naelewa ila pia sio rahisi mtu kutupilia mbali knowledge that they been fed their entire life from early childhood.. Sometimes religion answers qns that science 'hasnt yet' been able to answer and vice versa..Do you know how big the universe is? It's most probably likely that there are other forms of life on planets in other galaxies.
Usijiskie special sana. Binadamu ni mnyama tu kama wengine; tofauti yake kuwa ubongo wake ume-develop zaidi.
Dunia yetu sio centre ya universe, na sisi binadamu hatuna uspesheli wowote; yaani, we're not "chosen".
Tafuta facts, sio hadithi za kidini. Angalia kazi ya watu kama George Abungu. Soma vitabu vya Richard Dawkins (ambaye alizaliwa Kenya), Bill Nye, etc. Kazi ya Louie Leakey pia itakuonyesha evidence ya binadamu ni mnyama tu na alibahatika kutokea on top of the food chain.
Ukisha fanya hayo, tazama kazi ya watu kama Elon Musk (space x), Jeff Bezos (blue origins) wakitafuta mbinu za kuhakikisha kwamba humanity survives disasters on Earth. Tazama kazi ya watu kama Peter M.B Waswa, Dr. John Njoroge Kimani, nk.
Haya mambo yote yanaendelea, na wewe bado umekazana na mambo ya dini yanayokuambia kwamba Earth pekee ndiyo "iliyobarikiwa na Mungu"?
There are many other planets that probably have life.
Uko vizuri mkuu.. kweli we are not the centre of the universe... Naelewa ila pia sio rahisi mtu kutupilia mbali knowledge that they been fed their entire life from early childhood.. Sometimes religion answers qns that science 'hasnt yet' been able to answer and vice versa..
Nimekuelewa...Govi ni wewe!Unajifanya pimbi wakati unajua unachokisema ni uongo mtupu?Kama hujui wakenya baki kimya tu!Wakenya wanapenda utamaduni wao kuzidia,saa zingine hilo jambo linakua ni shiiida.Uliza wenzako kwanini wakenya wengi wamekataa kumpigia jamaa flani rafiki ya JPM kura miaka hiyo yote!Pia uliza wenzako kwanini mwezi wa agosti kila mwaka,kinachoendelea huko magharibi mwa Kenya,kinawafanya jamaa flani kuingia mafichoni?
we vipi?
mkenya ndo mke,.usijifariji we mkenyaMr Kararu Ririe, a close friend of the couple and a confessed gay Kenyan residing in California, tweeted shortly after attending the wedding: “This afternoon I had a chance to congratulate my friend, Ben and his husband, Steve on occasion of their marriage. It is a rare thing to see a Kenyan man so courageous! Congratulations.”
so ndo ukaamua kuolewa kisa fikra zako potofu unaamini hakuna MUNGU,.Ni ukweli kwamba "Mungu" hayupo.