Kenyan marries fellow man in USA

Kwa hasira ulizonazo yaonekana kakukosesha mume sivyo?........husijali wapo wengi tu utapata mmoja!...πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mi mwanaume nayejitambua.na siwez shiriki ayo mavitu wanayoshiriki wakenya.hapo nimeongea ukweli kwamba mkenya ndio analiwa aka nyama au bwabwa naona umenitukana mimi wakati sijakutaja wewe kama unaliwa.siitaji kutukanana na mtu ha ni kuelezana ukweli.
na pia kuna kipind nilikuwa kenya tunaangalia habar citizen.walikuwa wanazungumzia mambo ya matumiz ya kondom against HIV asee nilishangaa kwene habari wakihojiwa mashoga na mabwana zao juu ya matumizi ya kondom.na baadae wakaonyesha wakiwa wanaenda wamekumbatiana.nilimuuliza mwenyej ni nini iyo mnaweka kwa habari bila wasiwasi.hakunijibu
kenya iaonekana mnawatambua kiaina izi jamiii
 

OK!
 

Ndio zenu za kujifanya wanafiki wa kuishangaa Kenya wakati kwenu yapo yapo tu. Huyu hapa kwenye hii video Mtanzania shoga anahojiwa tena kwenye TV ya Tanzania. Wanafiki wa mwisho nyie.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…