Kenyan MPs pass draconian media law to muzzle press freedom.

Hahaaa safi sana,yule mzee mmiliki wa Citizen TV Mzee Macharia alipoamua kumuunga mkono Tinga ili achukue uraisi media house kubwa kama Nation na Standard wao wakawa pande ya UK na kumuona Mzee wa watu hamnazo na wakamtenga,sasa kiko wapi walijipendekeza kwa UK kwa sana.Hiyo imekula kwenu,mnabaki na kusema tungejua,na masilahi yenu yanapokunjwa mnakimbilia wananchi wawasaidie hapana media ni wanafiki sana,hiyo ni shauri yenu mkwende zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…