joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Ukishamaliza kumsikiliza kwa makini huyu professor, tafadhali pitia " Comments " za wakenya hapo chini yake, kisha usiache kutupia maoni yako hapa JF.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna msemo wa kiswahili huwa unasema" sio kawaida sana kumtaja mzazi wako kwa kutumia neno " Baba yetu, au mama yetu", japo mumezaliwa wengi, kila mmoja wenu hutumia maneno " Mama yangu na baba yangu".
Hahahaha, sisi tunasikilizi " contents", hatufuatilii chuki zenu zinazoambatana na " denial".prof uchwara huyoo ...tunamuitaga mzee tupa tupa!