Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed


ngoja bwana wamalize hicho kipindi, me nimewapenda tu hao mabinti hasa hako ka upande wa kushoto, kananitia mzuka wa kukatafuta ile mbaya.
 
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba aliyekuwa waziri wa serikali ya shirikisho ya Kenya George Saitoti amefariki dunia kutokana na ajali ya helkopta akiwa na msaidizi wake huko nchini Kenya.Tutaendelea kuwajuza kila tutakapo pata habari zaidi.

G.Saitoti R.I.P
 
kwani hiyo choper si kama ile ya chadema.!!!
Nao hawana muda, utasikia siku moja, Mbowe, Slaa, Zitto, Lema na Tundu Lissu is no..................due to helicopter cra........., they were going to loot M4C spirits in western zone.!

Kila siku nawaambia kuwa ccm ni wanyama wana roho mbaya na ni wauaji lakini mnabisha ..angalieni maneno ya mwana ccm haya .. Hawa ndio maana walimuua kolimba na wakataka kumuua mwakyembe. Wana roho ngumu sana nashangaa mtu anayepanga foleni kwa muda mrefu kisha anaenda kuipigia kura ccm.
 
Inasemekana Prof. Saitoti alikuwa amepanda Helikopter ya Polisi akielekea Homabay kwenye fund raising gathering. Ajali imetokea kwenye msitu wa Kibiku, Ngong.

Mungu awape nguvu wafiwa katika kipindi hiki kigumu.

Tiba
 

Tatizo lako nini ndg? Si bora yeye alikaa madarakani muda mrefu na amefanya makubwa. Atleast atakumbukwa! Vipi kuhusu viongozi wako wenye u-dr fake, ambao kila uchao ni mipango bila utekelezaji!
 

Kijana nani kakwambia mie ni CCM?
Unajua unaongea na limutu la kutokea wapi?
Unawatambua Al Shabibi wewe?
Mie sio kama hao UAMSHO wanaotishwa kwa viwembe.!!
 
poleni sana wana kenya lakini ndo mungu uyo yuko kazini

kama alikua mtenda haki basi bwana mkubwa atampokea kwa mikono miwili..ila kama ni mwenzangu na mimi basi LI MUKULU
HALIKAWII KUDAI CHAKE
 
Isije ikawa mambo sawa na akina Robert Ouko...

Poleni Kenya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…