Kenyan Student Best In The World!

AshaDii, i missed you bad. Ile ndio inawanyamazisha hawa AshaDii, maana wataanza kunikoromea sasa hivi.


Missed you too dear... But sometimes just try to relax, usiwafikiries sana,

Imagine hawapo but once they come be ready any time.. Wadada strong

jamvini ni wa chache hivyo uwepo wako jamvini muhimu...
 


Hivi criteria ya kazi Tanzania ni lazima ujue ung'eng'e kama Waingereza? Na wapi niliposema kujua kiingereza ni utumwa? Hao employers wengi wanaotaka ujue ung'eng'e wamekuwepo kwa muda gani au ni propaganda tu? Je ni asilimia ngapi ya Watanzania wanaongea kiingereza kama waingereza? Je ni halali kuwatenga oops kuwaona hawana akili wanaoongea kiswahili fasaha, au tunalimbuka na vya waingereza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…