Kenyan & Tanzanian Surburbs

jiji zuri sana

Ujue watanzania wa kawaida wamezoea kutishwa na hawa jamaa wa mt.Kenya,hiyo Sam nujoma ingekuwa NRB tungekuwa tunapostiwa hapa kila kukicha.

Post once, wasiojua uwepo wake waone, then acha kujazia watu nafasi kwenye server zao kwa kurudia kitu hicho hicho, as if it were the best thing since sliced bread.
 

My good man, with an American driving license & an international driving license issued in the US (for less than $50 in most states), it is relatively easy to get a Chinese driving permit. Note: My IDL was accepted in Hong Kong but I had to apply for a DL in China. I was on Study abroad in china for 2 semesters. Next you will be demanding my visa and a copy of my bio page from my passport.

Google translate jumbled the rest of your message but I suspect you are still banging on about ring roads. As NairobiWalker so eloquently put it, a road is a ring road because of its purpose and not the size, number of lanes or whichever imaginary requirement you come up with. A road, or network of roads that skirt a city are ring roads. That is final.
 
hao ndio majirani zetu na washirikawa jumuiya ya afrika mashariki unafiki mwingi kuliko ukweli . mtoto sasa kama baba yake

 

FYI international Driving license doesn't work in China.And getting a driving license in Beijing is nothing but easy,especially for a student, that would have required you sit for an exam(you didn't know this), no such thing as conversion. That was the first Red Flag. Second Red Flag,No Beijinger calls their roads all that S50 Bullshit. This one gave you away, so easily. Ndugu you can Google all you want, but You didn't drive shit in Beijing.
And probably never been there.

Regarding Ring Roads, any smart fella already knows whats up, you are too ashamed to concede the fact that your ring road verse was turned upside down.

Kijiweni kwetu tunasema, Njia ya muongo ni fupi.
 

LOL, dude, did I not just tell you that in the same post you are quoting? FYI an IDL works just fine in Hong Kong. As I stated in the original post, I only had to take the test on the mainland.


Just like with your false assertions about about Tanzania's road network, you cannot redefine what ring roads are to suit your agenda. A road, or network of roads that skirt a city are ring roads. That is final.

You spend more time in the Kenyan Subsection than anywhere else. Just go away, you are embarrassing yourself.
 

hahaha mkuu naona unawapa za chembe majirani.wanajifanya wajuaji sana kwa kuijua dunia kuliko raia wote wa EA.baadhi yao, hawajahi kutoka hata nje ya central province of kenya.wanachojua wao ni Nyeri,Nakuru and Limuru halafu wanataka kubishana na watz wanaosafiri kila leo nchi mbalimbali duniani.endelea kuwaumbua mkuu.
 

Keep lying dude, am throwing baits and you are grabbing them altogether.mmmh, did i tell you that Beijing does not accept IDL for conversion for students or anyone with short term permit(1 year residence permit).and do you know why?Lol. you are embarrassing yourself. Umeingia choo cha kike, and am 100% google is not going to help you in this case, and 百度 wont do shit.

There is No sugarcoating Ring Roads dude. Some things like Metro, do not need a Kenyan Expert, to get a new meaning.Defining them so Nairobi can claim to have them is plain dumb and you know it.
 

hahaha. Leo lazima waitazame kibra.

hawa wepesi sana, sema watu huwa wanaamua kuwanyamazia tu. kama huyu mbwiga anadanganya eti aliwahi kudrive kwenye S50 kwa kuwa nimemuwekea google map ya Beijing. Hivi kuna mtanzania au mtu aliyewahi kuendesha gari Dar akaaita Morogoror rodi A7? umeshawahi ona wapi?

hawa jamaa wengi umachi-know wao unaishia kwenye keyboard na kujifanya wanajua kila kitu kwa kuwa a simple querry ya google inatoa approximate answers. hawajui kuwa sio kila kitu kiko hivyoo.

jamaa ashaanza kuniomba niondoke. maana nitamuumbua zaidi.
 
NDINDA we mbaya sana.hizo picha unazoweka ni hitari na utasababisha panic kwa majirani. angle na ubunifu wa picha zako ni smart kuliko mapicha ya hovyo ya wakenya....safi sana mkuu.
 
Last edited by a moderator:

hahaha halafu kwanza huyo "bwiga" mara kadhaa anapo banwa hudai kuwa yeye siyo mkenya.lakini cha ajabu kutwa kuchwa hushinda kweye vi-subsection forum vya kenya.hahaha.nilishangaa sana eti anakwambia wewe " You spend more time in the Kenyan Subsection.hahaha
 

Dude, you change every argument into bragging of the places you've been to. Well am not impressed. I don't even see how you bring someone telling you anything about Tokyo or Osaka into this. Why are you so excited about staying in Asia? lol. I gave you descriptions of ring roads in Nairobi and you're still adamant due to hate and claiming you posted a link of some Google map - you don't even understand how Google maps work. You don't know the frequency of updating on Google maps. As you made it clear, the driving force in your arguments here is neither facts or logic but the urge to 'teach these boastful Kenyans a lesson' so it's no coincidence that you've been blinded by your quest to the extent of refusing to accept obvious facts in fear of feeling like that would boost your foes egos.

You clearly don't know anything about ring roads so am not going to spend any more time arguing with you on this anymore. You somehow think a bigger or richer city must have more ring roads while a smaller or poorer city may have fewer or none at all. I think you're just not worth my time.

Let's now go back to the suburbs - and Kenya is clearly doing better than Tz. Welcome.
 
some are posting artistic impressions and CBD photos instead of suburbs,what a shame!
 

unajua mkuu mara nyingi ukimya mwingi wa watanzania ndiyo silaha muhimu ya ushindi, wapinzani wetu wanapata shida sana kutuelewa, na pindi wakituelewa huwa wanapanic sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…