Avic town,woow! never heard of it but its so beautiful.
Huku nakufaham vizuri sana coz ndo hom. kulingana na picha zilizopo kwenye huu uzi, hukutakiwa hata kutaja hizi sehem coz sio suburbs, Lets Get one thing straight, ukijenga jumba la kifahari uswaz, its not like it will transform the place to a suburb, rather your house will just seem out of place.igoma, buswelu, nyakato etc in mwanza
Huku nakufaham vizuri sana coz ndo hom. kulingana na picha zilizopo kwenye huu uzi, hukutakiwa hata kutaja hizi sehem coz sio suburbs, Lets Get one thing straight, ukijenga jumba la kifahari uswaz, its not like it will transform the place to a suburb, rather your house will just seem out of place.
Case in point: rais mstaafu wa kenya, Daniel Moi, alijenga makazi yake kule Nairobi mtaa wa Kibira. lakini mpaka wa leo kibira inafahamika duniani kama slum. so long story short, igoma, buswelu, na nyakato hazihitaji publicity, bado slum tu!
My bad! maybe nimekosea kulinganisha Buswelu palivyo na baadhi ya picha nnazoona kwenye huu uzi. By Tanzanian standards Buswelu might actually be a suburb afterall, but by any other standards......... I'll still say slum, and you'll say suburb. You win!!Hizo zote nilizozitaja ni kata na si mitaa ..hivyo kuwa na nyumba za hadhi ya chini (mostly owned na watu wa asili ya hapa) kwa baadhi ya mitaa haikupi wewe haki ya kusema hizo places ni slums ...
Kama buswelu ni slum bhasi slum ni beautiful place for living...
buswelu ni mwanza mpya na ilikuwa planned muda mrefu sana pia, watu wanaoishi huko kwa wingi ni daraja la kati na matajiri .buswelu bado inajengwa na ukiilinganisha na miaka ya 2006 imepiga hatua kubwa sana..
Hata national housing wamejenga nyumba zao Kule kwa bahati mbaya nyumba zao ndo zinaonekana out of place...nimekuchambulia sehemu moja tu ili nikutoe tongotongo
I s
My bad! maybe nimekosea kulinganisha Buswelu palivyo na baadhi ya picha nnazoona kwenye huu uzi. By Tanzanian standards Buswelu might actually be a suburb afterall, but by any other standards......... I'll still say slum, and you'll say suburb. You win!!