Kenyans are coming!

Kenyans are coming!

Kingdom_man

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2010
Posts
405
Reaction score
462
Wadau hii ishu ya wakenya kuja bongo kuchukua/kununua mazao ya kilimo kama vitunguu, maharage, mahindi na kupeleka Kenya kufanyia package na kuuza Ulaya inaniumiza sana. Ni kama vile wabongo tumelala kifikra.
Ni mda sasa tulime wenyewe, tufanya good packaging na kutafuta soko nje wenyewe ili tuweze kupata faida Nzuri zaidi na sio kulima bidhaa na kutegemea Wakenya kununua wakati tunaweza fanya mambo makubwa zaidi wenyewe.

Don't get me wrong. Let's discuss this. Maana hawa jamaa wanakuwa tishio sasa. Tanzania nzima wamejaa wananua mashamba na maeneo makubwa na kujigamba. Hadi wanaigeria nao wapo!

Wenye connection na details za soko la nje bara ya Ulaya mwageni details hapa tuanze supplies ya mazao ya Kilimo
 
We ndo unashtuka sa hv,,anza kuonana na wafanyabiashara wa arusha wa horticulture
 
We ndo unashtuka sa hv,,anza kuonana na wafanyabiashara wa arusha wa horticulture

Better late than never Mdau. Hatujachelewa sana! Wapi contacts za hao wafanyabiashara. Connections muhimu sana.
 
Wadau hii ishu ya wakenya kuja bongo kuchukua/kununua mazao ya kilimo kama vitunguu, maharage, mahindi na kupeleka Kenya kufanyia package na kuuza Ulaya inaniumiza sana. Ni kama vile wabongo tumelala kifikra.
Ni mda sasa tulime wenyewe, tufanya good packaging na kutafuta soko nje wenyewe ili tuweze kupata faida Nzuri zaidi na sio kulima bidhaa na kutegemea Wakenya kununua wakati tunaweza fanya mambo makubwa zaidi wenyewe.

Don't get me wrong. Let's discuss this. Maana hawa jamaa wanakuwa tishio sasa. Tanzania nzima wamejaa wananua mashamba na maeneo makubwa na kujigamba. Hadi wanaigeria nao wapo!

Wenye connection na details za soko la nje bara ya Ulaya mwageni details hapa tuanze supplies ya mazao ya Kilimo
umetoa wazo safi

we need to learn from them na kufanya hiyo packaging, ila tuna shida kubwa za quality, marketing skills, exposure na pia tunakosa aggression

kibaya zaidi ni kwamba tumeendekeza sana siasa kuliko productivity... wakti wenzetu wanpigia chapuo pesa, sisi tuanpigia chapuo chadema na ccm
 
Wadau hii ishu ya wakenya kuja bongo kuchukua/kununua mazao ya kilimo kama vitunguu, maharage, mahindi na kupeleka Kenya kufanyia package na kuuza Ulaya inaniumiza sana. Ni kama vile wabongo tumelala kifikra.
Ni mda sasa tulime wenyewe, tufanya good packaging na kutafuta soko nje wenyewe ili tuweze kupata faida Nzuri zaidi na sio kulima bidhaa na kutegemea Wakenya kununua wakati tunaweza fanya mambo makubwa zaidi wenyewe.

Don't get me wrong. Let's discuss this. Maana hawa jamaa wanakuwa tishio sasa. Tanzania nzima wamejaa wananua mashamba na maeneo makubwa na kujigamba. Hadi wanaigeria nao wapo!

Wenye connection na details za soko la nje bara ya Ulaya mwageni details hapa tuanze supplies ya mazao ya Kilimo
Mkuu Kingdom, kiukweli, sisi Watanzania tuna tatizo, tukubali tukatae, we are not aggressive and serious enough!.

Fursa za soko la AGOA kwa nchi za Marekani zilipoletwa, nchi za Afrika ya Mashariki, ziliwekwa block moja!. Wamarekani wakaja kuendesha semina za bidhaa wanazotaka, nyingi zikiwa ni bidhaa za asili, handcrafts na mapambo zikiwemo batik, namna ya packaging, branding na export procedure, wafanyabiasha wa Tanzania wakajitokeza kwa mamia!.Wakatoa miezi sita kwa wafanya biashara wa Tanzania, Kenya na Uganda kupeleka sample US ili wafanya biashara wa Marekani kuziona. Wafanyabiashara wa Tanzania waliojitokeza ni less than 30!, kule US tukakuta Wakenya wamejitokeza hundreds!, Waganda zaidi ya 50!.

Tell you what!, 50% ya products walizopeleka Wakenya, zimetoka Tanzania!, wao wamefanya packaging tuu na branding!. Kule US wafanya biashara wengi walivutiwa sana na bidhaa kutoka Tanzania according to samples tulizoonyesha. Zikatolewa big orders, mfano nakumbuka mikeka fulani inatengenezwa kinamama kule Masasi kwa kutumia majani fulani laini, ikatoka order ya 40ft container within the next 6 months!.

Ukisha pew a order, its like an LPO, na inakuwa ni kwako tuu for the period of 6 months, ukishindwa kusupply wewe, after specified period of time, ile order inawekwa online, with details and specifications. Tumerudi, TZ, kind mama wale hawana "the capacity to supply such a big order within a given time!", wakaenda benki kutafuta mikopo, benki wanataka collateral!, kwao supply order ya Agoa, hawaijui!. Wamekwenda TCCA hawakupata msaada wowote!, Board of External Trade kazi kutoa tuu ushauri!. Miezi 6 ikapita bila delivery kufanyika, ile order ya mikeka ikaenda on line!. Yoyote mwenye uwezo wa kusupply hiyo oder kutoka nchi yoyote ya EAC, by then ni Tanzania, Kenya na Uganda tuu!.

Within 2 weeks Wakenya wameisha respond on line kuwa data supply, hivyo ikaondolewa on line that means hate kama wale wamama waliinzaanza, then, deal imeishahama!. Walichofanya Wakenya, walitua Mtwara, wakawasukisha hiyo mikeka vikundi kibao vya kinamama kwa mujibu wa zile needed specifications. Wenzetu wamesaidiwa na serikali yao kuwapatia government guarantee mabenki yao yakatoa fedha!. Within 3 months mikeka ikatua Kenya, wakafanya packaging na branding wao as "products from Kenya!".

Tumekuja kurudi US kufanya followup, huwezi amini, hakuna wafanya biashara wa Tanzania who made it in the first round!, lakini kwenye soko la AGOA, bidhaa zenye origin from Tanzania ila ni "Product from Kenya" zimefurika soko!. Kama ni Mtanzania Mzalendo wa kweli, unaishia kuumia tuu!.

Watanzia ni kama tumelogwa vile!.
Pasco
 
Hivi ingekuwa vipi kama budget ya sherehe za uhuru kwa mwaka fulani tungeihamishia kwenye vikundi vya ujasiriamali?!

I am just thinking!
 
Mkuu Kingdom, kiukweli, sisi Watanzania tuna tatizo, tukubali tukatae, we are not aggressive and serious enough!.

Fursa za soko la AGOA kwa nchi za Marekani zilipoletwa, nchi za Afrika ya Mashariki, ziliwekwa block moja!. Wamarekani wakaja kuendesha semina za bidhaa wanazotaka, nyingi zikiwa ni bidhaa za asili, handcrafts na mapambo zikiwemo batik, namna ya packaging, branding na export procedure, wafanyabiasha wa Tanzania wakajitokeza kwa mamia!.Wakatoa miezi sita kwa wafanya biashara wa Tanzania, Kenya na Uganda kupeleka sample US ili wafanya biashara wa Marekani kuziona. Wafanyabiashara wa Tanzania waliojitokeza ni less than 30!, kule US tukakuta Wakenya wamejitokeza hundreds!, Waganda zaidi ya 50!.

Tell you what!, 50% ya products walizopeleka Wakenya, zimetoka Tanzania!, wao wamefanya packaging tuu na branding!. Kule US wafanya biashara wengi walivutiwa sana na bidhaa kutoka Tanzania according to samples tulizoonyesha. Zikatolewa big orders, mfano nakumbuka mikeka fulani inatengenezwa kinamama kule Masasi kwa kutumia majani fulani laini, ikatoka order ya 40ft container within the next 6 months!.

Ukisha pew a order, its like an LPO, na inakuwa ni kwako tuu for the period of 6 months, ukishindwa kusupply wewe, after specified period of time, ile order inawekwa online, with details and specifications. Tumerudi, TZ, kind mama wale hawana "the capacity to supply such a big order within a given time!", wakaenda benki kutafuta mikopo, benki wanataka collateral!, kwao supply order ya Agoa, hawaijui!. Wamekwenda TCCA hawakupata msaada wowote!, Board of External Trade kazi kutoa tuu ushauri!. Miezi 6 ikapita bila delivery kufanyika, ile order ya mikeka ikaenda on line!. Yoyote mwenye uwezo wa kusupply hiyo oder kutoka nchi yoyote ya EAC, by then ni Tanzania, Kenya na Uganda tuu!.

Within 2 weeks Wakenya wameisha respond on line kuwa data supply, hivyo ikaondolewa on line that means hate kama wale wamama waliinzaanza, then, deal imeishahama!. Walichofanya Wakenya, walitua Mtwara, wakawasukisha hiyo mikeka vikundi kibao vya kinamama kwa mujibu wa zile needed specifications. Wenzetu wamesaidiwa na serikali yao kuwapatia government guarantee mabenki yao yakatoa fedha!. Within 3 months mikeka ikatua Kenya, wakafanya packaging na branding wao as "products from Kenya!".

Tumekuja kurudi US kufanya followup, huwezi amini, hakuna wafanya biashara wa Tanzania who made it in the first round!, lakini kwenye soko la AGOA, bidhaa zenye origin from Tanzania ila ni "Product from Kenya" zimefurika soko!. Kama ni Mtanzania Mzalendo wa kweli, unaishia kuumia tuu!.

Watanzia ni kama tumelogwa vile!.
Pasco

Pasco. Hii ishu ya AGOA sikuwahi isikia. Kwa namna hiyo tupo nyuma sana. Inatia huruma alafu kutwa kutoa visingizio tu! Hujakosea Watanzania hatuna hukari ya biashara. Vijana wengi wanataka pesa rahisi bila kujituma. Ikitokea deal ingine tushtue makamanda tufanye kazi.
 
Pasco mimi naamini kitu kimoja, mabadiliko.

Wakenya kuwepo Tanzania ni baraka ambayo sisi kwa muda mfupi tunaona kama laana au bahati mbaya.

hebu fikiria. kama wakenya wasingekuja, tungejua lini kuwa bidhaa za Tanzania zina thamani hivyo. Wao ni kama awakening agents, kwa muda maalum wapo kuonyesha njia gani tutumie na kupita.

kuhusu kuwa aggressive na serious. itatoka wapi kama bado tuna matongotongo ya ujamaa? Wakenya wanatufundisha kuwa competitive kwa sababu wao wapo exposed enough.

serikali makini ni ile itakayojifunza kutokana na makosa yake. Tunakwenda kwenye mabadiliko makubwa ya kiuchumi na kisiasa ambapo Tanzania ya leo itakuwa historia.

Tuamini katika mabadiliko. Tusitiwe upofu na hali ilivyo sasa na kufikiri kwamba itabaki hivyo milele. Jiulize swali rahisi, Tanzania ya miaka 15 iliyopita ni sawa na ya leo.??

Amini kwenye mabadiliko, acha kulalamika na wewe pia ubadili fikra zako na jinsi unavyochukulia mambo.
 
Last edited by a moderator:
Pasco. Hii ishu ya AGOA sikuwahi isikia. Kwa namna hiyo tupo nyuma sana. Inatia huruma alafu kutwa kutoa visingizio tu! Hujakosea Watanzania hatuna hukari ya biashara. Vijana wengi wanataka pesa rahisi bila kujituma. Ikitokea deal ingine tushtue makamanda tufanye kazi.
Hii ngoma bado ipo, tembelea hapa [h=3]Tanzania - Agoa.info - African Growth and Opportunity Act,[/h]
huko pia unaweza kushuhudia sisi tumeuza kiasi gani huko Agoa na wenzetu Wakenya wameuza kiasi gani?!.
Pasco
 
Kweli Pasco ulilosema Serikali yetu haiko tayari kusaidia wafanya biashara!!
Ni kama wanabrock wafanya biashara vile, unaweza kuventure ukapata hasara!!
Ule moyo wa kuinua watu hakuna!!
 
Last edited by a moderator:
Labda tujaribu kuweka wafanyabiashara wazalendo ndio wawe viongozi wetu kama ilivyo kenya na kenyatta. La sivyo tutabaki kulalamika tu. Shida yetu kubwa ni vipaumbele viko kiajabu ajabu na viongozi hawataweza hata siku moja kukubali makosa au uzembe wa kifikra. Lazima watakuwa na hoja za kujibu hata kama hazina mshiko.
 
Taratibu za Tanzania Investment bank (TIB) zinasemaje kuhusu tenda kama hiii ya AGOA? Kuna dirisha pale la kilimo linatoa mikopo
 
Wadau hii ishu ya wakenya kuja bongo kuchukua/kununua mazao ya kilimo kama vitunguu, maharage, mahindi na kupeleka Kenya kufanyia package na kuuza Ulaya inaniumiza sana. Ni kama vile wabongo tumelala kifikra.
Ni mda sasa tulime wenyewe, tufanya good packaging na kutafuta soko nje wenyewe ili tuweze kupata faida Nzuri zaidi na sio kulima bidhaa na kutegemea Wakenya kununua wakati tunaweza fanya mambo makubwa zaidi wenyewe.

Don't get me wrong. Let's discuss this. Maana hawa jamaa wanakuwa tishio sasa. Tanzania nzima wamejaa wananua mashamba na maeneo makubwa na kujigamba. Hadi wanaigeria nao wapo!

Wenye connection na details za soko la nje bara ya Ulaya mwageni details hapa tuanze supplies ya mazao ya Kilimo

Kingdom_man nakupongeza kwa kuanzisha uzi hii ili nasisi tutoe ya moyoni kwenye hili. Mimi nitaanza kuichambua Kenya na Tanzania kwanza. Kilimo kwa Kenya kinachangia kadirio la 22% kwenye GDP, kwa Tanzania ni 27% kwenye GDP. Lakini cha kufurahisha Tanzania ni moja wapo ya nchi zilizo kwenye masoko ya nchi za nje ya Kenya. Kwa akili nyepesi Kenya wana-export added value products back to Tanzania wakati Tanzania tuna-export raw product ambazo bei yake siyo yenye faida kubwa kwenye uchumi wa nchi yetu. Haya tuyaweke pembeni sababu hayana maana sana.

Tuje kwenye mazingira ya kibiashara nchini Tanzania yana challenge nyingi sana ila kuna zile kuu ambazo kama mfanya biashara ukizitambua na kuzitafutia ufumbuzi basi umetoka. Pili ukilijua soko la biashara yako nje ndani unakuwa na advantage kwa washindani wako. Kwa mtazamo wangu changamoto kubwa kwenye mazingira ya Tanzania ni:

Rushwa (ukiritimba)
Miundombinu (umeme, mashine na usafiri wa uhakika)
Mfumuko wa Bei za bidhaa.
Key skills and Attitude ( Hapa ndipo kwenye tatizo, watu wengi wana elimu ya biashara, lakini tatizo skills na attitude za kibiashara)

Ukiziweza kuzidhibiti hizo changamoto hapo juu Wakenya hawakusumbui, sababu wao unawaweka kwenye upande wa ushindani. Ukiweka Juhudi na Maarifa, ukiongeza na umakini kwenye biashara yako utashinda tu. Najua mtashangaa kwa nini sijaweka Mtaji. JUhudi na Maarifa inachukua asilimia zaidi ya 90 ya biashara yoyote ile duniani. Naweza nikakupa leo bilioni na wiki ijayo ukawa hauna kitu kama hakuna juhudi na maarifa. Lakini kwa Juhudi na Maarifa peke yake unaweza kuanza biashara bila hata ya mtaji.

Ukijikamilisha kwa hivyo hapo juu mtaji utakuja tu na biashara utafanya kwa mafanikio makubwa sana. Je swali linakuja ni vipi tunajikwamua kwenye kwenye hizo changamoto kuu nilizoziataja hapo juu? Ukiweza kulijibu swali utafanikiwa tu.

 
Back
Top Bottom