Kenyans beat neighbours in the race of life

Hehehe nilijua nimewagusa penyewe na mtatiririka povu, huyo jamaa mkitajiwa huwa mnababaika sana, nakumbuka kuna kipindi humu JF jukwaa la kimataifa lilijaa mada za kumjadili, kila siku mkilialia kumhusu....

Nilijua utarudi na maneno hewa.
Hoja nimeweka hapo mezani, nimekueleza Kagame hakuwahi kuishi Tanzania kipindi kirefu kama ulivyo-claim lakini umejifunika mchangani.

Pili Kagame haijawahi na haitawahi kutokea kuitisha Tanzania. Anajadiliwa humu kwa sababu kwa kipindi kirefu tumewahifadhi maelfu ya wakimbizi wao na kwa hivyo si ajabu Kagame kujadiliwa humu, mikoa yote ya Magharibi imekuwa na raia wengi sana wa Kinyarwanda kwa hiyo ni rahisi sana kuijadili. Ndiyo maana kuna raia wengi wa Rwanda wanaoingia Tqnzania kufanya vibarua na kufuga kwa sababu Serikali yao haina uwezo wowote wa kuwahudumia



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hamna kipya unachokieleza nje ya yaliyokua yanasemwa enzi hizo alikua anajadiliwa JF yote, kuna hata akaunti zilitoweka humu baada ya Kagame na Magufuli kukutana na kuyamaliza, hakuna kiongozi wa nje ya Tanzania aliyewahi kujadiliwa kwa povu la Watanzania kama Kagame, yaani wewe hapa hii yako hamna hata kitu, watu wslikua wanamkeshea humu.
Suala la wakimbizi mpo nao Warundi maelfu lakini rais wao huwa mnamjadili juu juu tu, ila kwa Kagame yaani jina likitajwa, mnaweweseka nyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…