Kenyans with Mt Kilimanjaro

Kenyans with Mt Kilimanjaro

heavyload

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
920
Reaction score
526
I think there is a need you guys to get to understand how you degrade yourselves before the truth by always claiming this nonsense.
Let you try understand the reality coz you can't change the truth that is clear to smart minds

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
??????

Sent from Iphone price 5Mil using JF nchi za nje.
 
Ungeandika tu kwa lugha ya kiswahili tungekuelewa pia...hii ni lugha ghani sasa
 
I think there is a need you guys to get to understand how you degrade yourselves before the truth by always claiming this nonsense.
Let you try understand the reality coz you can't change the truth that is clear to smart minds

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
tatzo wakenya wanajitekenya na kucheka wenyew, tangia lini mlima kilimanjaro kuwa Kenya, may be mlima al-shababuuu

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
tatzo wakenya wanajitekenya na kucheka wenyew, tangia lini mlima kilimanjaro kuwa Kenya, may be mlima al-shababuuu

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Hehe,acha tu jombaa.Usilete mzaha wewe huo mlima alshababu tunaukwea kwa uchungu bana.
 
I think there is a need you guys to get to understand how you degrade yourselves before the truth by always claiming this nonsense.
Let you try understand the reality coz you can't change the truth that is clear to smart minds

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Umeandika nini wewe mswahili, hata hueleweki, mkiambiwa nyinyi watu duni kabisa hamsikii...kaombe urudishiwe ada yako ya st kayumba!..
 
19931879_1254678504660492_2820934683221557248_n.jpg.jpg
15043577_1146690038755216_7438672993468809216_n.jpg.jpg
19955170_327611317677431_5007985927889354752_n.jpg.jpg
16464811_375514096153185_4843753920452886528_n.jpg.jpg


Lake Manyara National Park [HASHTAG]#evertonTZ[/HASHTAG]
 
Huo mlima ulikua wetu lazima tule na nyie kwenye sahani moja, nyie wazembe mumeshindwa kuutangaza, kwenye madini mnaliwa sana mfuate huko kwanza kabla ya kuja kulialia kuhusu mlima. Mzungu katunyang'anya na kuwapa.

Ona hapa wanavyopata raha kuutazama wakiwa Kenya... Nakaribisha povu...
tortilis-camp-amboseli20.jpg
 
Huo mlima ulikua wetu lazima tule na nyie kwenye sahani moja, nyie wazembe mumeshindwa kuutangaza, kwenye madini mnaliwa sana mfuate huko kwanza kabla ya kuja kulialia kuhusu mlima. Mzungu katunyang'anya na kuwapa.

Ona hapa wanavyopata raha kuutazama wakiwa Kenya...
tortilis-camp-amboseli20.jpg
Tanzania tuna National Park nyingi mpaka kero 38% ya Tanzania ni National Parks, 4 wonders of the world zipo Tanzania so unaweza dhani tumeupotezea kumbe sababu tuna vingi huwezi kusikia kimoja tu all day long .
 
Huo mlima ulikua wetu lazima tule na nyie kwenye sahani moja, nyie wazembe mumeshindwa kuutangaza, kwenye madini mnaliwa sana mfuate huko kwanza kabla ya kuja kulialia kuhusu mlima. Mzungu katunyang'anya na kuwapa.

Ona hapa wanavyopata raha kuutazama wakiwa Kenya...
tortilis-camp-amboseli20.jpg
Hapo kwenye red, kama mlivyopigwa kwenye std gauge!
 
Tanzania tuna National Park nyingi mpaka kero 38% ya Tanzania ni National Parks, 4 wonders of the world zipo Tanzania so unaweza dhani tumeupotezea kumbe sababu tuna vingi huwezi kusikia kimoja tu all day long .
Mikenya ndivyo ilivyo, ninaamini wale Alshabab wangekua wanaitwanga TZ wangekua wanarusha matangazo kwamba TZ siyo salama kwenda
 
Umeandika nini wewe mswahili, hata hueleweki, mkiambiwa nyinyi watu duni kabisa hamsikii...kaombe urudishiwe ada yako ya st kayumba!..
We mpuuzi tu unajaribu kukuataa ukweli na maisha yenu ya kuigiza yamefika tamati. Argue don't provoke you poor minded

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Huo mlima ulikua wetu lazima tule na nyie kwenye sahani moja, nyie wazembe mumeshindwa kuutangaza, kwenye madini mnaliwa sana mfuate huko kwanza kabla ya kuja kulialia kuhusu mlima. Mzungu katunyang'anya na kuwapa.

Ona hapa wanavyopata raha kuutazama wakiwa Kenya...
tortilis-camp-amboseli20.jpg
Dawa yenu ni kujenga Ukuta kama wa Trump tu wageni wakija kwenu wasiuone...
 
Dawa yenu ni kujenga Ukuta kama wa Trump tu wageni wakija kwenu wasiuone...
kek
impossible my friend
jengeni 5km height wall then. kumbuka mlima unaoneka vizuri hata ukiwa Nairobi
 
We mpuuzi tu unajaribu kukuataa ukweli na maisha yenu ya kuigiza yamefika tamati. Argue don't provoke you poor minded

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Uharo tuuu, pelekesha hukoo uswazii..
 
Huo mlima ulikua wetu lazima tule na nyie kwenye sahani moja, nyie wazembe mumeshindwa kuutangaza, kwenye madini mnaliwa sana mfuate huko kwanza kabla ya kuja kulialia kuhusu mlima. Mzungu katunyang'anya na kuwapa.

Ona hapa wanavyopata raha kuutazama wakiwa Kenya... Nakaribisha povu...
tortilis-camp-amboseli20.jpg
Ukichambua ramani ya Kenya kwa makini ukianzia kijiji cha Vanga utagundua kuwa mpaka ni mstari straight hadi lifike maeneo ya Taveta ambapo ghafla bin hu linageuza na kuenda kinyume zaidi ya mara moja. Kisha baada ya kilometa isiyo zaidi ya 50 hivi linarejea mkondo.
Swali linaibuka: kuna nini pale maeneo ya Taita taveta linalofanya ule mstari kugeuza ghafla design ile?


[HASHTAG]#TurejesheweMlimaWetu[/HASHTAG]. Tuanzishe hashtag.
 
Back
Top Bottom