Kenyans writing PHD thesis for British Students


Ahaaa haaa haaa
Have you followed the article and see why they prefer Kenyans?
 
Correct, hawa watu ni majuha kweli, just because they don't understand something they start talking shit. Global dynamics are always shifting and only those ready to adopt will survive.

Ahaaa haaa haaa
You guys r so funny,
Have you ever attended the pd defence? Leave alone to defend it. You can do e- writing in articles of journals, but not the pd dissertations. Unless the opponents are also part of the (dirt) game.
 
Eliakeem....believe you me....kenyan human capital is highly sought after..its the best..why do you think multi-nationals are setting up their base in nairobi despite the twin threat of terrorism and political insatability..its the people...Google,Coca-cola.general motors,toyota,avic are some of the few international corporations headquartered in kenya and there are many more....why?
 
Wakenya ni wapuuzi na wanapenda sifa za kijinga

Sasa ni wapi katika hiyo link daily mail wanasema thesis zinaandikwa na wakenya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahaaa haaa haaa
Wanasifika kwa kuwa cheap labourers.
Boss unaendelea kujiabisha. Kiingereza ndio hukielewi au? Isipokuwa unemployment ambayo e-writing inatatua moja kwa moja, hakuna kitu chochote kingine negative wameongea kuhusu. Wamesema working from home is coveted, they are good in english and cheap overheads(sio cheap labour, hizo sio kazi za viwanda.) Cheap overheads inamaanisha costs kama cheap internet access na umeme na gharama za communication(kuwasiliana) yaani hawapati gharama za ziada kwasababu hawafanyiwi kazi mbovu.
 

Ahaaa haaa haaa
Overheads = f{a, b, c, d, £}
Let's assume £ is an error term.
Hapo huwezi kwepa labourers.
After all, the issue here is not where someone working, the core issue here is someone to dissertation on behalf of another pd (student).
 
Wakenya ni wapuuzi na wanapenda sifa za kijinga

Sasa ni wapi katika hiyo link daily mail wanasema thesis zinaandikwa na wakenya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss, isome kwa mara ya pili. Yaani wamekiri live kwa kuita Kenya hotbed of e-writing. Hii nchi moja ndogo ya Kenya kati ya nchi zote hizi duniani. Sitasema Afrika kwasababu e-writing ni kupitia mitandaoni, yaani mtu yeyote yule duniani mwenye access ya internet anaweza. Hapa ndio huwa nawapendea wakenya wenzangu, ni mwendo wa unyang'au kuenda mbele! Hahaha! 😀
 
Ahaaa haaa haaa
Overheads = f{a, b, c, d, £}
Let's assume £ is an error term.
Hapo huwezi kwepa labourers.
After all, the issue here is not where someone working, the core issue here is someone to dissertation on behalf of another pd (student).
Tuna mitazamo tofauti jombaa. Wewe kama kawaida umechagua kuangalia yale mabaya, ambayo hapa ni madogo mno. Udanganyifu wa watu wachache tu, tena sio wakenya kwasababu wao wanalipwa kuandika tu. Mimi nami naangalia the broader picture, uwezo wa hao wakenya kwenye nyaja hiyo ya e-writing, na kwamba ujuzi wao ndio umefanya wakawa singled out. Kwahivyo hata tukibishana hadi kesho itakuwa ni kazi bure tu. Waeleze watz wenzako wachangamkie hizi fursa, zinafanywa mitandaoni, pesa halali free for all bila uchoyo.
 
Hii ndio ile unaskianga foreign remittances ... Kumbe ni ma nigga wa thika road wanachangamka!!!
 
Ahaaa haaa haaa
You guys r so funny,
Have you ever attended the pd defence? Leave alone to defend it. You can do e- writing in articles of journals, but not the pd dissertations. Unless the opponents are also part of the (dirt) game.
Acha majungu boss soma hiyo taarifa tena. Hao wanafunzi na hizo kampuni ndio wanahusika na huo udanganyifu. Wao ndio wanapangana ili kuwahadaa wanaosupervise hizo dissertations. Wakenya hawahusiki isipokuwa kuandika kulingana na kampuni hizo zinavotaka, na hela za kazi zao wanalipwa, basi.
 

Ahaaa haaa haaa
Where did I mentioned about Kenya?
 
cheap labourors ??? online writers in Kenya earn more than TZ doctors

Ahaaa haaa haaa
Understand that, Kenyans are not taking the work directly FROM the clients, but are just second hand.
 

SYNONYMS
(CHANGING, ACTIVE): ACTIVE, FLUID, MOVING
(POWERFUL): ENERGETIC, POWERFUL

ANTONYMS
(CHANGING; ACTIVE; IN MOTION) STATIC
(COMPUTING) STATIC
 
Ahaaa haaa haaa
Understand that, Kenyans are not taking the work directly FROM the clients, but are just second hand.
It depends on the situation , some work is direct some is not..On this issue of online writing/ academic writing, a large group of young Kenyans has taken it very serious, experienced individual writers with good portfolios and ratings make as much as 5000 - 6000 - USD per month.
Hii si payuka payuka kaka, marafiki zangu wengi wana offices full of writers, kazi yao ni kufanya bidding.
 

Can you give me one example of the company that offers the service?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…