Kenya's GDP hits $85 billion as Tz breaks the $50 billion mark.

Gap imeongezeka sana, miaka ya 1980s Tanzania ilikua na GDP kubwa kuliko Kenya sahii kuna gap ya $30 billion.
Tanzania tulikuwa biggest economy in 1980 during nyerere era @ uchumi ulianguka miaka 90 ndipo kenya walipo tupiga gap but I see better future for Tanzania economy anytime soon# only agribusiness can help us to move out of poverty
 
Jubileee mmehonga imf?
Wewe jiulize tangu 2008 uchumi wenyu unakukua over 7percent na miaka kumi baadae ndio mnafika 55bn? Kenya yenye mnatusi kila siku na kukejeli inahit 100bn mwaka ujao na mnatudharau ati tunakua kwa 5percentπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Jubileee mmehonga imf?
Imf uwezi i honga ndio maana mnakua 7percent lakini gdp haitoki 50bn imekwama hapoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Hi habari tamu hadi rahaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Tanzania tulikuwa biggest economy in 1980 during nyerere era @ uchumi ulianguka miaka 90 ndipo kenya walipo tupiga gap but I see better future for Tanzania economy anytime soon# only agribusiness can help us to move out of poverty
Kaka mimi sijawai kuwa na shida na Tanzania ama ethiopia niko na shida na mijitu ya ccm yenye inakesha huku ikitudharau na kueneza propaganda kina geza na annael
 
Tunacheka vile njaa inawahenyesha...uchumi wenu umeishia nbo ,mombasa na miji michache uko mashinani njaa tupu
 


We are not the ones who claimed so. That's IMF data.
 
100 mwakani hamfiki btw GDP ppp umeona Tz iko $178 Kenya $175?? Au iyo haionekani
 


Their main source of info is tweets by Kenyans, lol. Hawa watu hawajui hata in perfectly run wealthy countries such as S. Korea and Sweden, people critic the government on twitter.
 
All data indicates there's more hunger in Tanzania than Kenya. Only that our government accepts the challenge while your government is in denial.
Baada ya kukubal mna njaa mmefnya nn na pesa mnayo?huo ndio ujinga sasa hatupendi
 
Hapo Kenya mpo wapi to say bampa to bampa na Ethiopia...Tanzania has maintained that growth for the past 6 years ...in short whether u like or not we are coming for you
 
Baada ya kukubal mna njaa mmefnya nn na pesa mnayo?huo ndio ujinga sasa hatupendi


Baada ya kukubali tuna njaa tumezitumia pesa kununua vyakula na kusambaza kwa maeneo yalioadhirika. Ndio maana watu hawafi njaa na maisha yako Sawa. Ndio maana unaona tukiimport vyakula nyakati za upungufu. Sawa?
 
Hapo Kenya mpo wapi to say bampa to bampa na Ethiopia...Tanzania has maintained that growth for the past 6 years ...in short whether u like or not we are coming for youView attachment 738695

6 years ago (2012) the GDP gap between Kenya ($50B) and Tanzania($39B) was $11 billion. Currently the gap is $30 billion. So what is this we keep hearing about higher economic growth?
 
6 years ago (2012) the GDP gap between Kenya ($50B) and Tanzania($39B) was $11 billion. Currently the gap is $30 billion. So what is this we keep hearing about higher economic growth?

Naona umeshaconclude, wakati wenzako wamefanya projection.
Fanya utupee source ya GDP za 2012
 
6 years ago (2012) the GDP gap between Kenya ($50B) and Tanzania($39B) was $11 billion. Currently the gap is $30 billion. So what is this we keep hearing about higher economic growth?
U need to consult ur math....coz the bigger the GDP so as it percentage of growth...if you hear that Japanese economy has grown by 0.2 percentage don't think it is small...it can be even two times the Kenyan Economy...
 
At least we admit that we have a problem, unlike some pipo...



Survey finds most Tanzanians go hungry, despite government denials
Hao ifm ni wazungu wana shirikiana na jubilii kuitafuna Kenya kimya kimya hivyo hivyo wakenya mnapewa matumaini ili msigungue mapema kuwa Kenya isha uzwa sikunyingi
Ccm inaeza pika data venye inataka lakini haitawai honga imfπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
100 mwakani hamfiki btw GDP ppp umeona Tz iko $178 Kenya $175?? Au iyo haionekani
Kama huu mwaka tuko 86mbona next year tuskue na100πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜±πŸ˜€πŸ˜›πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Ati uchumi wa bongo unakua kwa kasi na hatoki 50bn aibu tupu, ccm mungu anawaonaπŸ™πŸ™πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Tanzania's GDP is bigger than Kenya's when measured by PPP at current international dollar rates!

 
View attachment 738740

Tanzania's GDP is bigger than Kenya's when measured by PPP at current international dollar rates!

View attachment 738740
Ppp ya india 10trln ya germany trilion 4 usinijibu jijibu wewe mwenyewe
Leave these Fools alone. And when I tell them GDP(ppp) of Tz is projected to overtake kenya they result to tribal chants.
If you have no ability to understand data, Dont be exited by figures
India ppp ni 10trln germany ppp 4trln,indonesia ppp ni kubwa kushinda france,sasa mnataka tuamini india iko uchumi mkubwa kushinda germany ama Indonesia iko na uchumi mkubwa france phew mbavu zanguπŸ˜‘πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…