Kenya's military might

Kwikwikwikwi. Kwa kutoa takwimu za uongo wakenya hamjambo.
Yaani uko kwenye uwanja wa mapambano unapiga selfie "Hii ni Kenya tu"
 
Kwa hiyari yake!!? Nani kakwambia hivyo? Tanzania is the best country kuishi.
HAhahahahahaha, Sasa mnasaidia Somalia kwa kuwa best country kuishi???? A retired president is a private citizen, Hivi unajua ni viongozi wangapi kutoka hapa East and Central Africa wametuma bibi zao na watoto wao kusomea shule za kenya?
 
HAhahahahahaha, Sasa mnasaidia Somalia kwa kuwa best country kuishi???? A retired president is a private citizen, Hivi unajua ni viongozi wangapi kutoka hapa East and Central Africa wametuma bibi zao na watoto wao kusomea shule za kenya?
Soma hapa kijana usiwe mvivu

The government has pledged to provide 300 tonnes of maize as food aid to more than 3.5 million Somalis who are devastated by famine.


Tanzania pledges food aid to Somalia | Tanzania Chamber of Commerce,Industry and Agriculture
 
Kwikwikwikwi. Kwa kutoa takwimu za uongo wakenya hamjambo.
Yaani uko kwenye uwanja wa mapambano unapiga selfie "Hii ni Kenya tu"
He, nani ankurukupwa sasa? Utaumwa na moyo bure... Hiyo ni profile ya UN, link yenyewe ni ya UN peacekeeping hao ndo wanatakwimu za kila mwanajeshi aliyetumwa UN kutoka kwa kila nchi ingia ujitafutie nchi yako iko wapi na wapi

Providing for Peacekeeping
 
Hebu soma hapa TZ uweze kupata maana halisi:
Peacekeeping Contributor Profile: Tanzania | Providing for Peacekeeping

Hakuna operation yoyote Kenya wamefanya wakafanikiwa. Nitajie operation yoyote nakupa $100.
 
Vip wazee hii ipo bongo



Sent using Jamii Forums mobile app
Soma hapa:
SA-3 Goa S-125 Neva Pechora ground to air missile system technical data sheet specifications UK | Russia Russian missile system vehicle UK | Russia Russian army military equipment vehicles UK

Country users
Algeria, Angola, Armenia, Azerbaijan, Bulgaria, Burma, Cambodia, Czech Republic, Cuba, Egypt, Ethiopia, Georgia, Finland, Hungary, India, Libya, Moldova, Mozambique, North Korea, Peru, Poland, Romania, Russia, Serbia, Syria, Somalia, Slovakia, South Yemen, Ukraine, Tanzania, Turkmenistan, Vietnam, Yemen, Zambia.
 
Mt.Dinara KDF manning the Croacian border




Kenyan UN soldiers studies a map as others watch over the international border between the so-called 'Serb republic' and the breakaway Serb-held Krajina region of Croatia
 
Mt.Dinara KDF manning the Croacian border




Kenyan UN soldiers studies a map as others watch over the international border between the so-called 'Serb republic' and the breakaway Serb-held Krajina region of Croatia
Eh eh we Jamaa hapo wameenda kutalii hamna jipya tunapelekaga Kila simu Tanzania huko kupiga dolla za bure hamna vita huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti jwtz! Mnafananisha KDF baba yao na vijana wavaa gumboot? Ingekuwa ni wao wako Somalia sasa hivi Tz ingekuwa imefilisika viongozi hawangepata hata bakshishi ya kuiba!
 
Eti jwtz! Mnafananisha KDF baba yao na vijana wavaa gumboot? Ingekuwa ni wao wako Somalia Tz ingekuwa imefilisika hata viongozi hawangepata hata bakshishi ya kuiba!
Nipe source ya income ya Kenya. Kenya ni maskini wa kutupwa.
TZ ipo na source nyingi sana za income.
 
Hebu soma hapa TZ uweze kupata maana halisi:
Peacekeeping Contributor Profile: Tanzania | Providing for Peacekeeping

Hakuna operation yoyote Kenya wamefanya wakafanikiwa. Nitajie operation yoyote nakupa $100.
Una akili timamu kweli wewe, siku zote hua unakaa kama mwendawazimu hivi, mara unasema hivi mara umesharuka na kusema vwyengine yani hata mtu hawezi shindana na wewe manake hauna msimamo, unaruka ruka tu kila mahali...

Nimekulete profile ya kenya nikakuonyesha kote kule tulipokua, ukapinga sasa umerudi kwa website hiohio unanionyesha link ya Tanzania eti ndo halisi... WTF
Rudi kwa ile link ya Kenya profile uone Kenya iliongoza mission za wapi na wapi
 
Nipe source ya income ya Kenya. Kenya ni maskini wa kutupwa.
TZ ipo na source nyingi sana za income.
Source gani wakati haziwafaidi?Mmelala usingizi wa pono mnaliwa na wahindi na wachina na wazungu na wasauz na wakenya dah! Hata wachuuza ngono huwa na siku za mapumziko bana!
 
Mbona swali rahisi sana. Nataka unipatie operation Kenya imefanya na kufanikiwa.
Sisi tumefanya zifuatazo:-
1. Mozambique Civil war (tukafanikiwa)
2. Uganda War (Tukafanikiwa)
3. Comoros war (Tukafanikiwa)
4. Seychelles (Tukafanikiwa)
na sehemu nyingine nyingi tu.
 
Source gani wakati haziwafaidi?Mmelala usingizi wa pono mnaliwa na wahindi na wachina na wazungu na wasauz na wakenya dah! Hata wachuuza ngono huwa na siku za mapumziko bana!
Mbona kelele nyingi kwenye swali simple tu.
Hakuna kitu chochote Kenya, zaidi sana ni wizi.
 
Wajamaa wako no. 17 hadi uganda wako juu yao...shida
Sasa hizo info hata mimi sinaweza kuandika google na nika upload cha muhimu ni reality sio fantasy yaani unawezaje kuanza kusema eti tz tunazidiwa na uganda na kenya wakati sisi tumeongoza nchi nyingi za africa kupata uhuru kwa kutumia jeshi letu alafu wakenya mnakuja kutuletea longolongo yaani mmeshindwa na wanamgambo magaidi wa somalia alafu mnajiita ati mna jeshi imara kuliko wengine shame on you kenyans.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…