You're delusional.TPDF VS GSU YA KENYA NDIO WABONGO WANAWEZA ATLEAST PAMBANA
Hawa vijana wa FFU wanaweza kuchanganya kipigo mpaka Katikati ya Nairobi
tunapeleka hawa jamaaKDF wakisogelea mpaka wetu tunawapeleka FFU tu .....
tunapeleka hawa jamaaKDF wakisogelea mpaka wetu tunawapeleka FFU tu .....
tunapeleka hawa jamaa
tunapeleka hawa jamaa
Ngw'ana Kabula
Wabongolala mnakelele nyingi lakini vitendo hukunaHawa vijana wa FFU wanaweza kuchanganya kipigo mpaka Katikati ya Nairobi
Ngw'ana Kabula
Ak47 za world War 1.....ata recce squad wako more equipt than jeshi yaoYaani mnatumia binduki za world war one.
AK 47, Inatumika mpaka leo duniani na zinanunuliwa hadi na waamerica.Ak47 za world War 1.....ata recce squad wako more equipt than jeshi yao
Sent using Jamii Forums mobile app
AK 47, Inatumika mpaka leo duniani na zinanunuliwa hadi na waamerica.
Em acha ushamba.
Hujui hata uwezo wak kivita.
Em kaisome kwanza ndio uje kubishana hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaitwa Black Mamba hao shughuli yao sio mchezotunapeleka hawa jamaa
tunapeleka hawa jamaa
Ngw'ana Kabula
Hahaha aih hao Watu wamechoka sana jameni. Wapi bullet proof vest? Wapi helmet? Mbona AK47 na kuna M 16.Wanaitwa Black Mamba hao shughuli yao sio mchezo
hahahaaaa!!Al-shabab wamewashinda je tukiwaletea WATU WASIOJULIKANA kutoka Tz si watapindua nchi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli huowoooi kijana.
Ukweli huo
Huwezi kanusha!.
AK 47 ni bunduki ya Vita mpaka leo.
Inapiga kazi kwenye barafu, baridi, joto, ikiwa imelowa maji, yaani iko fiti in all weather.[emoji379]
Sent using Jamii Forums mobile app
whey can't they pose to a camera when they're in an action with criminals to show us what they got, to my opinion i can say those are amateursHawa vijana wa FFU wanaweza kuchanganya kipigo mpaka Katikati ya Nairobi
Ngw'ana Kabula