KDF ina uzoefu na vita gani?jambo la kwanza, TZ hamna uzoefu wa vita....mpo kweny nchi tulivu..sasa huwezi ukasema ww ni bora kijeshi na hamna uzoefu wowote...KDf wamekuwa kule somalia kwa miaka 5 sasa na pia wamekuwa Sudan kusini....tukasema sasa KDF vs TPDF tunawamaliza asubui na tunaelekea kula lunch tukicheka....hata muwe na missile launchers elfu moja na hamna uzoefu wa vita nyie ni bure tu...zile missile nikama kalamu tu...zimekaa tu pale barracks hazifanyi kazi...
Pili, pesa zilizotengwa kwa ajili ya jeshi every financial year ni nyingi Kenya kuliko tanzania pmoja na training na facilities za kivita...juzi tu tumenunua zile ndege za kuangusha missile toka marekani...
Wewe shusha nondo hapa. Weka picha ya vifaa vyenu.si mjaribu tu...mtajua kuwa Kenya pia hatu bahatishi...please refer to this
https://answersafrica.com/7-african-countries-with-highest-military-strength.html/8
hampo hata top 10 maskini
listi ni hivi top 6
1. Egypt
2. Algeria
3. Ethiopia
4. South Africa
5. Nigeria
6. Kenya
yaani tz huwa ni domo tu lakini hamna chochote wala lolote...
Kuna mchina hapo? Wachina ni rafiki zetu, tunashirikiana mambo mengi.
kwani ww kipofu?? pale somalia na sudan kusini wanalisha ng'ombe au? nyi mna uzoefu upi?? nchi imetulia sana...hakuna threat from within or without...tanzania has never gone to war...my friends, huwa mnapenda majivuno ila hamna chochote...nenda Google just search most powerful african militaries...kisha uje uniambie...hata nashuku hizo missile launchers hamjui kutumia...KDF ina uzoefu na vita gani?
Hizo ni forums tu rafiki yangu. Kila mmoja anatoa mawazo yake.
vita ni uzoefu pamoja na facilities sio tu kuwa na missile launchers mnafikiri nyie babkubwa...hahahaha...njooni na TPDF muone tukiwanyorosha mpaka msikie...Wewe shusha nondo hapa. Weka picha ya vifaa vyenu.
Uzuri wa nchi za kijamaa hatuvamii. Nyie jaribuni kuja kuchukua mlima kilimanjaro si mnasema wenu?
Nyie Kenya ni makelele mengi sana.
Mnazo hizi?
FB-6A air defense systems?
Hivi umewahi kujiuliza.kwani ww kipofu?? pale somalia na sudan kusini wanalisha ng'ombe au? nyi mna uzoefu upi?? nchi imetulia sana...hakuna threat from within or without...tanzania has never gone to war...my friends, huwa mnapenda majivuno ila hamna chochote...nenda Google just search most powerful african militaries...kisha uje uniambie...hata nashuku hizo missile launchers hamjui kutumia...
sawa mkuu ila pia wanaotoa maoni hawako mbali na ukweli...si umeona wametaja Egypt na Ethiopia...wamedanganya?Hizo ni forums tu rafiki yangu. Kila mmoja anatoa mawazo yake.
Mimi nimekuonesha vifaa vya land defence. Wewe leta vya kwenu tuone. Kama siyo yale makopo ya kizamani.
Sasa hivi tupo na ICBM (Inter country ballistic missiles). Tunawagonga tukiwa home tunakunywa chai
Leta uzoefu wenu hapa. Na ni wapi mmefanikiwa.kwani ww kipofu?? pale somalia na sudan kusini wanalisha ng'ombe au? nyi mna uzoefu upi?? nchi imetulia sana...hakuna threat from within or without...tanzania has never gone to war...my friends, huwa mnapenda majivuno ila hamna chochote...nenda Google just search most powerful african militaries...kisha uje uniambie...hata nashuku hizo missile launchers hamjui kutumia...
hakuna vita kati ya kenya na nchi hizo moja kwa moja ila kuna vita kati ya KDF na South Sudanese rebels plus Alshabaab militants...hio ni exposure tosha ya kukabili adui...nyi mmefanya lipi?Hivi umewahi kujiuliza.
Hivi nyie kenya mpo na vita na somalia (Vita ya kenya na somalia)
Hivi nyie Kenya mpo na vita na S. Sudani (Vita ya kenya na S. Sudani)
Nataka nijue leo kama kunavita kati ya nchi hizo.
Kwakipimo kipi muwamba ngozi huvutia kwakeThubutuuuu.
Hao mgambo wa alshabaabu tu wanawatoa Kamasi kule somali land
Tanzania ndio the Most powerful afrika mashariki na Kati yote
Na kwa bara la afrika nzima.
JWTZ Hatutoki nje ya 3 bora,
kama sio Namba Moja kabisa.
Labda Egypt na South Afrika.
Manake bajeti ya jeshi la Egypt linafadhiliwa na USA. Hawa watakua powerful kwasababu ya mgongo wa mwamerika.
South Afrika hawa wako vizuri kiuchumi tangu siku nyingi.
Namibia wanatengeneza ndege zao wenyewe, lakini bado hawazidi mziki wetu.
Nigeria wale washakua vimeo toka long time. Jeshi lao halina nidhamu. Lina mapungufu mengi.
Afrika imeisha yote. Kwishney..!!
Tumebaki sisi ambao ni strong and solid.
Sent using Jamii Forums mobile app
kama umetazama video ile utapata jibu ila wacha nkurahisishie kazi...pale KDF wamewafukuza militants toka jiji la Kismayo...jiji lililotumika na alshabaab kwa miaka mingi kiuchumi...Leta uzoefu wenu hapa. Na ni wapi mmefanikiwa.
Sasa Sudanese na Alshababu lini mmefanikiwa sasa?hakuna vita kati ya kenya na nchi hizo moja kwa moja ila kuna vita kati ya KDF na South Sudanese rebels plus Alshabaab militants...hio ni exposure tosha ya kukabili adui...nyi mmefanya lipi?