Sawa nimekubali. Lakini nina swali, haya mambo yanatia ugali kwenye sahani yako vipi?Anza kwa kusoma hapa:
View attachment 586253
BM-27 Uragan - Wikipedia
Kisha pitia hapa
Tanzania Land Systems List (Vehicles, Tanks and Artillery)
Nitakuwa nimemaliza kukupa somo. Na hizi ni record za zamani. Unajua Tanzania isingekuwa imara nyie kenya mngesumbua sana.
Hayo mambo ya kutia ugali kwenye sahani yametokea wapi sasa? Kwani tunaongelea ugali hapa?Sawa nimekubali. Lakini nina swali, haya mambo yanatia ugali kwenye sahani yako vipi?
Marekebisho kidogo, Tanzania ilikataa kupeleka jeshi ila ilisema itawafundisha polisi wa Somalia kule CCP Moshi kwa ajili ya kulinda usalama wa raia wa Somalia, sio kufundisha wanajeshi wa somalia, kwa sababu jukumu la kufindisha jeshi la Somalia lipo chini ya vikosi vya AMISOM vilivyopo Somalia, taarifa nilizonazo ambazo sijazithibitisha ni kwamba baadhi ya hao polisi walifundishwa na kurudi Somalia.hehe Watanzania nawapa mkono kwa kua na uwezo wakujitungia story za kiajabu....
Ngoja ni kupe facts kidogo..
Nchi ya kwanza kuwapa mafunzo wanajeshi wa somalia ili wapigane na wanamgambo wa alshabaab ilikua Kenya..... Nchi ya pili kutoka Africa kuwapa mafunzo Somalia National Army ilikua Uganda.. Uganda ndo walianza kutuma Wanajeshi wao Mogadishu kupigana na Alshabaab alafu nchi zengine Kama Siera leone, Burundi, Dgibouti zikatuma vikosi kwenda kusaidia.......
Alafu ikafika wakati ikawa bado Tanzania isaidie pia.... Tanzania kupitia JK alikubali kufundisha 1,000 wanajeshi wa somalia between 2007-2014, lakini pindi Tanzania walipo tangaza hivyo, Alshabaab walitoa onyo kali sana, wakasema vita vyao ni kati ya nchi zilizotuma wanajeshi Somalia na kama Tanzania inajipenda basi wasiingilie kwani alshabaab wako na wanamgambo wengi kutoka Tz na wanaeza kuchafua mambo... Tangu hio siku Tanzania haijawahi kuongelea hadharani didhi ya Alshabaab!!!!!
Ninajaribu kusema kuwa ata T.Z ikiwa na jeshi iliyoogopewa sana Afrika nzima hiyo haitaweka ugali kwa sahani ya mtizi wa kawaida. Pia Kenya ikiwa na jeshi kali haitaniongezea pesa kwa benki. Jeshi ya KE itanisaidia tu wakati KE ikivamiwa na nchi nyingine. Lakini KE tunapenda amani kwa hivyo sioni uvamizi ukifanyika hivi karibuni.Hayo mambo ya kutia ugali kwenye sahani yametokea wapi sasa? Kwani tunaongelea ugali hapa?
Sasa unataka kila siku tujadili issue za ugali? Mambo ya ugali pambana na familia yako.Ninajaribu kusema kuwa ata T.Z ikiwa na jeshi iliyoogopewa sana Afrika nzima hiyo haitaweka ugali kwa sahani ya mtizi wa kawaida. Pia Kenya ikiwa na jeshi kali haitaniongezea pesa kwa benki. Jeshi ya KE itanisaidia tu wakati KE ikivamiwa na nchi nyingine. Lakini KE tunapenda amani kwa hivyo sioni uvamizi ukifanyika hivi karibuni.
proof ya nini , Hayo ni mambo yako kwa public domain.Leta proof ya hayo unayoyasema.
Kama sivyo zitakuwa stori zako za vijiweni.
coastweek.com
Kenya will embed Somalia civil servants in its public service ranks to facilitate their on-job training as part of its skills improvement support for the new government.
Foreign Affairs Ministers of Kenya and Somalia Professor Sam Ongeri and Fauzia Yusuf Haji Adan respectively announced the plan in Nairobi on Tuesday during their closed-door talks.
Kenya to raise taxes for Somalia
Kenya's government is to collect taxes for Somalia's government at their common border, to help the embattled administration raise revenue.
Somalia has not had a functioning national authority since 1991 and Islamist insurgents control much of the south of the country.
Announcing the deal, Kenya's foreign minister said tax collection was the cornerstone for a government to work.
BBC NEWS | World | Africa | Kenya to raise taxes for Somalia
Maelezo yote ya TFG yapo hapa.proof ya nini , Hayo ni mambo yako kwa public domain.
Fanya google kidogo
Wengi wenu hua hamjui mnachosema ikija kwa vita vya Somalia, mnajitungia story mnajiambia wenyewe kwa wenyewe alafu mnaaminiana kua hivyo nd iko...
Kenya admits to secret police training for Somalia
Kama hujui ile serekali inayo tambulika Duniani kua Serikali ya Somalia ilianza kama TFG -Transitional Federal Government. TFG ilundwa hapa Kenya.. Rais pamoja na bunge la kwanza la Somalia baada ya Civil war lilikua laishi na Kufanya kazi kutokea Nairobi... Wafanyikazi wa kwanza wa serikali (Civil servants) walipata mafunzo kutoka Serikali ya Kenya... Security force ambayo iliwalinda hao ilikua imepata mafunzo kenya
2002
Somali Reconciliation Conference
Held in Eldoret, Kenya, this conference was attended by most TFG supporters. However, at the time, the Rahanweyn Resistance Army (RRA) was still hotly contending with other factions, including warlord Adan Madobe, who captured Baidoa. The RRA accused the Juba Valley Alliance of assisting the warlord OF ERA, an accusation denied by the JVA leader Barre Adan Shire Hiiraale.
2004
Transitional Federal Charter
In February 2004, at Nairobi, Kenya, the government endorsed the Transitional Federal Charter of the Somali Republic.
Presidency of Abdullahi Yusuf Ahmed (2004–2008)
On October 10, 2004, in a session held by the Transitional Federal Parliament (TFP) in Nairobi, Ahmed was elected as President of the Transitional Federal Government(TFG), an interim federal administrative body that he had helped establish earlier in the year. He received 189 votes from the TFG Parliament, while the closest contender, erstwhile Somali ambassador to Washington Abdullahi Ahmed Addou, got 79 votes in the third round of voting. The then incumbent President of Somalia, Abdiqasim Salad Hassan, peacefully withdrew his candidature.Ahmed was sworn in a few days later on October 14, 2004.
proof ya nini , Hayo ni mambo yako kwa public domain.
Fanya google kidogo
Wengi wenu hua hamjui mnachosema ikija kwa vita vya Somalia, mnajitungia story mnajiambia wenyewe kwa wenyewe alafu mnaaminiana kua hivyo nd iko...
Kenya admits to secret police training for Somalia
Kama hujui ile serekali inayo tambulika Duniani kua Serikali ya Somalia ilianza kama TFG -Transitional Federal Government. TFG ilundwa hapa Kenya.. Rais pamoja na bunge la kwanza la Somalia baada ya Civil war lilikua laishi na Kufanya kazi kutokea Nairobi... Wafanyikazi wa kwanza wa serikali (Civil servants) walipata mafunzo kutoka Serikali ya Kenya... Security force ambayo iliwalinda hao ilikua imepata mafunzo kenya
2002
Somali Reconciliation Conference
Held in Eldoret, Kenya, this conference was attended by most TFG supporters. However, at the time, the Rahanweyn Resistance Army (RRA) was still hotly contending with other factions, including warlord Adan Madobe, who captured Baidoa. The RRA accused the Juba Valley Alliance of assisting the warlord OF ERA, an accusation denied by the JVA leader Barre Adan Shire Hiiraale.
2004
Transitional Federal Charter
In February 2004, at Nairobi, Kenya, the government endorsed the Transitional Federal Charter of the Somali Republic.
Presidency of Abdullahi Yusuf Ahmed (2004–2008)
On October 10, 2004, in a session held by the Transitional Federal Parliament (TFP) in Nairobi, Ahmed was elected as President of the Transitional Federal Government(TFG), an interim federal administrative body that he had helped establish earlier in the year. He received 189 votes from the TFG Parliament, while the closest contender, erstwhile Somali ambassador to Washington Abdullahi Ahmed Addou, got 79 votes in the third round of voting. The then incumbent President of Somalia, Abdiqasim Salad Hassan, peacefully withdrew his candidature.Ahmed was sworn in a few days later on October 14, 2004.
Even taxes of ggods that are imported to Somalia, we used to collect for them
Halafu katika link hapo juu usisahau kusoma hiki kipengereproof ya nini , Hayo ni mambo yako kwa public domain.
Fanya google kidogo
Wengi wenu hua hamjui mnachosema ikija kwa vita vya Somalia, mnajitungia story mnajiambia wenyewe kwa wenyewe alafu mnaaminiana kua hivyo nd iko...
Kenya admits to secret police training for Somalia
Kama hujui ile serekali inayo tambulika Duniani kua Serikali ya Somalia ilianza kama TFG -Transitional Federal Government. TFG ilundwa hapa Kenya.. Rais pamoja na bunge la kwanza la Somalia baada ya Civil war lilikua laishi na Kufanya kazi kutokea Nairobi... Wafanyikazi wa kwanza wa serikali (Civil servants) walipata mafunzo kutoka Serikali ya Kenya... Security force ambayo iliwalinda hao ilikua imepata mafunzo kenya
2002
Somali Reconciliation Conference
Held in Eldoret, Kenya, this conference was attended by most TFG supporters. However, at the time, the Rahanweyn Resistance Army (RRA) was still hotly contending with other factions, including warlord Adan Madobe, who captured Baidoa. The RRA accused the Juba Valley Alliance of assisting the warlord OF ERA, an accusation denied by the JVA leader Barre Adan Shire Hiiraale.
2004
Transitional Federal Charter
In February 2004, at Nairobi, Kenya, the government endorsed the Transitional Federal Charter of the Somali Republic.
Presidency of Abdullahi Yusuf Ahmed (2004–2008)
On October 10, 2004, in a session held by the Transitional Federal Parliament (TFP) in Nairobi, Ahmed was elected as President of the Transitional Federal Government(TFG), an interim federal administrative body that he had helped establish earlier in the year. He received 189 votes from the TFG Parliament, while the closest contender, erstwhile Somali ambassador to Washington Abdullahi Ahmed Addou, got 79 votes in the third round of voting. The then incumbent President of Somalia, Abdiqasim Salad Hassan, peacefully withdrew his candidature.Ahmed was sworn in a few days later on October 14, 2004.
Even taxes of ggods that are imported to Somalia, we used to collect for them
Hilo ni jambo la kawaida tu, Hata Kenya imetrain wanajeshi na makomander kutoka kwa nchi nyingi sana Africa na nje ya Africa ikiwemo wanajeshi wa Tanzania.....Halafu katika link hapo juu usisahau kusoma hiki kipengere
Defence and National Service Hussein Mwinyi said the Somali training programme is a continuation of the TPDF role as a leading regional provider of training for combat and peacekeeping operations in East Africa as a contribution regional stability.
He said the TPDF has so far conducted numerous training programmes for military officers from Kenya, Rwanda, Burundi and the Seychelles in East Africa.
Southern African troops and officers who have graduated in various disciplines from TPDF's National Defence College training programmes have been drawn from Malawi, Zambia, Botswana, Swaziland, Zimbabwe and Namibia.
Apart from training programmes, the TPDF has several foreign military deployments which include the Democratic Republic of Congo (DRC) where the 1st Battalion has provided key backing for several operations against rebel groups in the east.
Tanzania to train 1 000 Somali troops | defenceWeb
THat training never happened... Infact, the Tanzania Governmnet has never spoken about the situation in Somalia since then...Halafu umesoma hapa lakini?
The Tanzania People’s Defence Force (TPDF) will soon start training 1 000 members of the Somali National Army (SNA) including soldiers and officers as part of its contribution to the ongoing international security and stabilisation operation in the country.
Director of Communications in President Jakaya Kikwete's office, Salva Rweyemamu, told Tanzanian media that the training programme will be conducted in terms of a revived military co-operation agreement signed between the two countries in 2012.
Rweyemamu said the TPDF is ready to start training batches of Somali soldiers as soon the government in Mogadishu concludes the selection of the first recruits.
Tanzania to train 1 000 Somali troops | defenceWeb
Unadhani sisi ni wapiga kelele kama nyie? Tunafundisha watu wanaenda kwenye nchi zao kwa siri. Huku wakitumikia nchi yao.THat training never happened... Infact, the Tanzania Governmnet has never spoken about the situation in Somalia since then
hahahaha, inshort mliogopa kuwafundisha.... Vitu kama hivi hua hawezi kuficha enzi hizi. Serekali ya Somali yenyewe bado inaomba msaada kwa nchi yoyote kuwasaidi na mafunzo..Unadhani sisi ni wapiga kelele kama nyie? Tunafundisha watu wanaenda kwenye nchi zao kwa siri. Huku wakitumikia nchi yao.
Kila nchi ipo na interest zake. Interest zenu kenya ni sifa za kijinga. Lakini zetu ni kuweka Dunia kuwa sehemu salama ya kuishi.
Utajulia wapi wewe kijana?hahahaha, inshort mliogopa kuwafundisha.... Vitu kama hivi hua hawezi kuficha enzi hizi. Serekali ya Somali yenyewe bado inaomba msaada kwa nchi yoyote kuwasaidi na mafunzo..
Mturuki kwa sasa ndo anaedelea kuwasaidia, pamoja na UK na US wanaendela kutoa mafunzo, Nchi zengine za Africa kama kina tanzania zimenyamaza kabisaa.. Mambo ya somalia tumekua tukifwatia tokea Kitambo sana, hamna lolote jipya unaeza niambia
[emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah,nimecheka sana,hwa +254,waoga sana.Sasa unataka kila siku tujadili issue za ugali? Mambo ya ugali pambana na familia yako.
Naona umeanza kuiogopa Tanzania ulikuwa unaichukulia poa siyo?
How many battles did they face !?