I never meant to offend anybody, my point is once they build those dams, the great Serengeti and the animal migration is gone forever.Comparing Kenya to an evil witch? Too far!
With all due respect, ingiza kienyeji hao vifaranga nchini Uingereza, Australia, au Marekani utaona kama kuwachoma moto ilikuwa kuwabania wakenya.jenga haraka sana....walichoma vifaranga wetu hawa makende wa bongo...yaani mtakuwa mkiwaletea wanyama wenu maji kwa mitungi mashoga nyie...
ni kweli...asante kwa kunifungua macho ila vipi kuhusu ng'ombe wetu wa Maasai?With all due respect, ingiza kienyeji hao vifaranga nchini Uingereza, Australia, au Marekani utaona kama kuwachoma moto ilikuwa kuwabania wakenya.
Ile inafanyika kote duniani kuzuia kusambaza magonjwa na kuzuia mbegu ya mifugo ya nchi husika isipotee au kuharibiwa.
Kama wangeomba permit zote na kufanyiwa chanjo za magonjwa wangeruhusiwa tu tena kwa gharama ndogo.
Hao ng'ombe na ufugaji wetu wa kuhama hama ovyo na idadi kubwa ya mifugo ni tatizo kubwa sana. Kwa hivyo ilichokifanya Kenya ni sahihi kabisa.ni kweli...asante kwa kunifungua macho ila vipi kuhusu ng'ombe wetu wa Maasai?
Hawa wakenya walipinga sana barabara na lodge nzuri Serengeti. Ngoja waanze tuone itakuwaje. Tit fot tatKenya's plan to build dams on the River Mara and its tributaries poses a threat to the rich animal and plant life of Serengeti ecosystem that attracts tourists.
The habitat, comprising, Serengeti National Park in Tanzania and Masai Mara game reserve in Kenya has the River Mara as the only permanent source of water for the herds of wildebeest and other wildlife that migrate between the two countries.
Conservationists are concerned that the iconic ecosystem until recently threatened by a major new highway in Tanzania will now face a new peril from the dams.
Such dams could potentially reduce the amount of water flowing from Kenya to Tanzania and could spark a diplomatic spat should the EAC agreement be invoked in support or censure of the proposed projects.
Prof Eric Wolanski of James Cook University, Australia, says international efforts are needed to save the Serengeti as Kenya stands to reap all the economic benefits of the dams while Tanzania will remain saddled with environmental problems.
"Tanzania has to be involved as an equal partner with Kenya in the decision-making about managing the Mara and Ewaso Ngiro rivers. If that is not possible, then the financing of these dams must be stopped," he said.
Tit for Tat ndugu...kisha jengeni barabara tu...bora isipitie nchini kenya hata kilomita moja...jengeni barabara yenu nasi tujenge dams zetu...yaani hao nyumbu mtakua mkiwaletea maji kwa beseni ili wasife na kiu...Hawa wakenya walipinga sana barabara na lodge nzuri Serengeti. Ngoja waanze tuone itakuwaje. Tit fot tat
[emoji23][emoji23]Lets do it
Mkuu kuna tofauti kubwa sana ya jiografia ya Selous na ya Mto Mara hasa hapo linapotaka kujengwa bwawa la mradi wa Stiegler hapatalazimisha wanyama washindwe kwenda sehemu nyingine inayohitajika uwepo wao (wanyama) ktk biashara ya utalii.Waache lijengwe mbona Tanzania wanajenga bwawa kubwa kule mbuga ya Selou kuzalisha umeme..
daaaaah chief!!! cant believe hujala ban mpaka saa hiijenga haraka sana....walichoma vifaranga wetu hawa makende wa bongo...yaani mtakuwa mkiwaletea wanyama wenu maji kwa mitungi mashoga nyie...
Mashoga ni nyie sio kwa bongo ya sasa hatuna shobo mkizingua tunawazingua zaida haina kuremba hii jombaaa magu ni mwanaume hana muda wa kucheka na wajingaajenga haraka sana....walichoma vifaranga wetu hawa makende wa bongo...yaani mtakuwa mkiwaletea wanyama wenu maji kwa mitungi mashoga nyie...
Wehu nyie, tutachoma mpaka wahamiaj haram sio vikuku vyenu. tena msitujarbu kabsajenga haraka sana....walichoma vifaranga wetu hawa makende wa bongo...yaani mtakuwa mkiwaletea wanyama wenu maji kwa mitungi mashoga nyie...
chomeni tu ila nimewaambia nyumbu mtawaletea maji ya kunywa kwa beseni...Wehu nyie, tutachoma mpaka wahamiaj haram sio vikuku vyenu. tena msitujarbu kabsa
haya rudi nyumbani Tandale sasa...kumekua usikuMashoga ni nyie sio kwa bongo ya sasa hatuna shobo mkizingua tunawazingua zaida haina kuremba hii jombaaa magu ni mwanaume hana muda wa kucheka na wajingaa
ndio sijala..nimekuwa nikiwasaidia maskini hawa angalau wale kwanza...daaaaah chief!!! cant believe hujala ban mpaka saa hii
awww!! okayndio sijala..nimekuwa nikiwasaidia maskini hawa angalau wale kwanza...