Kenya's Safari Rally readmitted in the World Rally Championship Circuit

Sasa mbona ukaniquote [emoji23][emoji23][emoji23]


We don't care man, Kenya hatuna hiyo akili ya "ukiona mwenziyo ana kitu usidhani amechukua chako, nenda tafuta new opportunities", fundamento wewe
 
Ututangazie kwani umesikia hao washiriki hawafahamu hivyo vivutio vilipo [emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu mneniquote wote imewauma hii [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ututangazie kwani umesikia hao washiriki hawafahamu hivyo vivutio vilipo [emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu mneniquote wote imewauma hii [emoji23][emoji23][emoji23]

Hawavijui maana vipo kwa mivivu wa kutupwa, hivyo huwa tunavitangaza na kupigia hela humo.
Angalia hii hapa chini, tangazo la hili tukio

 
Nonsense,
Kwa karne hii ya internet nani hajui?
njaa ilishawapunguzia uwezo wa kufikiri.
Hawavijui maana vipo kwa mivivu wa kutupwa, hivyo huwa tunavitangaza na kupigia hela humo.
Angalia hii hapa chini, tangazo la hili tukio

 
Nonsense,
Kwa karne hii ya internet nani hajui?
njaa ilishawapunguzia uwezo wa kufikiri.

Wanakuja sana, maana leo hii pamoja na internet Wamarekani wengi hujua Afrika ni nchi moja kubwa, hivyo hakuna mwenye muda wa kujua mlima wa wapi, akishatangaziwa aje auone huku akijionea magari yanavyokatiza, anasajiri na kuja, ila sema mlima huonekana vizuri ukiwa upande wa kwetu huku, labda mwenye kiherehere cha kutaka kuukwea ndiye huwa tunampokeza kwenu awape visenti, na kwa umaskini wenu hamuwezi kumkatalia.
 
Ati visenti,
Sasa mbona ni Tanzania ndio inaingiza pesa nyingi kwenye utalii hapa EA? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ati visenti,
Sasa mbona ni Tanzania ndio inaingiza pesa nyingi kwenye utalii hapa EA? [emoji23][emoji23][emoji23]

Kenya tungekua hata na robo ya hivyo vivutio mlivyo navyo, tungeongoza Afrika, lakini kwa vile vpo kwa mivivu, inabidi tuvitumie kukwapua mahela kwa kuvitangaza pembeni.
 
Pumba
Kenya tungekua hata na robo ya hivyo vivutio mlivyo navyo, tungeongoza Afrika, lakini kwa vile vpo kwa mivivu, inabidi tuvitumie kukwapua mahela kwa kuvitangaza pembeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…